Safari ya Maisha ya Kiroho ya Hayati Dkt. John Magufuli

Mungu ana mamlaka yote, tena yasiyo na mipaka, katika utoaji msamaha.

Lakini tunaambiwa ukitaka kupata msamaha wa Mungu, kwanza waombe msamaha uliowakosea.

Awe alipata nafasi ya kujutia uovu wake, awe alipata msamaha, kwetu wanadamu siyo hoha, kilicho dhahiri, ambacho kipo kwenye mamlaka yetu wanadamu, ni kwamba tunatambua kuwa marehemu, wakati wa uhai wake alitenda maovu mengi kupindukia. Alitenda hata yale ambayo watu wasiomjua Mungu, wanaogopa kuyatenda.

Ushetani wa kiwango cha juu ni kumwua binadamu mwenzako. Kuua watu, kuteka, kuwapoteza, kuwabambikia kesi za uhujumu uchumi kwa nia ya kuwapora pesa zao, halafu hela ulizopora, unachukua ili kujinufaisha wewe binafsi, ni ushetani wa hali ya juu.

Hizo pesa alizozipora kwa hao aliowabandika majina ya wahujumu uchumi, zilimsaidia nini? Aliweza kuzitumia? Huo Urais alioupora kwa nguvu, na kutengeneza Bunge lake bandia, hayo madaraka anayo? Hilo Bunge lake lina uwezo wa kutenda aliyoyataka?

Funzo zuri kwetu tuliobakia, tujitahidi kutenda haki, kuishi maisha ya upendo wa kweli badala ya unafiki, tusiwadhulumu wenzetu wala tusidhulumu maisha ya watu, kwa maana unaweza kutenda maovu yote ili kupata hazina kubwa hapa Duniani, lakini isitufae chochote.

Matendo ya marehemu Magufuli yanafahamika zaidi kwa majirani zake, ambao ni sisi tulioshuhudia uovu mwingi aliokuwa akiutenda, wala siyo waliopo Vatican au kungine kokote. Wanaoweza kuelezea vizuri maisha ya marehemu Magufuli siyo watu wa Vatican, bali jirani zake. Jibu lipo pale, "Na jirani yangu ni nani?"
 

Mwisho akazikwa kama kifurushi kwenye ngozi ya chui.
 
kifupi alikuwa kibaka hana tofauti na mumeo kigogo
 
Amen, amen
 
Wewe na wenzako wote wenye mawazo kama hayo ni watumishi wa shetani sababu shetani hajawahi kuwaza kuhusu msamaha ndio maana mnakasirika kusikia hayati magu akifanyia ibada ya maombezi.

Ivyo visasi vyenu vyakijinga vya kupambana na marehemu ni zaidi ya ujuha.

Hakuna mkamilifu chini ya jua wesubiri ukifa na wewe utaombewatu ili Mungu akusamehe makosayako, yani mnamuonea marehemu wivu kwamba akiombewa atafaidi!!!.

Nyie majitu hovyo sana.
 
hukumu si juu ya mwanadamu kwa kuwa mwanadamu hawezi kuona yaliyofichika.hukumu ni juu ya Mungu.hata wewe unayehukumu humu ndani ujue kama ni mkristo kuna siku utakuja kukutana na hukumu,iwe mbaya au nzuri lkn kwa mwamini lazima atakutana nayo tu.
 
Kama umepata muda wa kucomment kwenye upuuzi bilashaka wewe ni mjinga.
hakuna mjinga aliye mkuu zaidi yako ndo maana akili yako umeifubaza kwa ujinga ulionao.mwenye akili timamu hawazi hayo uyawazayo bali tu wenye akili mgando (fikirishi).siku zote wapuuzi huwaza upuuzi ndani ya akili zao,
 
hakuna mjinga aliye mkuu zaidi yako ndo maana akili yako umeifubaza kwa ujinga ulionao.mwenye akili timamu hawazi hayo uyawazayo bali tu wenye akili mgando (fikirishi).siku zote wapuuzi huwaza upuuzi ndani ya akili zao,

Idiot.
 
Tatazo la Watanzania wengi wao hawapendi kuambiwa ukweli! Hata ukikuta Mwanaume au Mwanamke anatembea na Mume au Mwanamke wa Mtu na ukimwambia acha tabia hiyo siyo nzuri basi lazima atakukasirikia maana anaona Kama umnamuingilia kwenye Mambo yake!!!
Huu sio mfano mzuri kwa muktadha wa bandiko hili.
 
Wanahangaika bure tu kuombea jitu ambalo halikuwahi kuabudu Mungu bali mashetani vinginevyo asingewatendea watoto wa mungu uovu wa kiasi kile! Huyo ataendelea kuungua jehanamu milele na milele, hakuwa mcha mungu hata kidogo bali alikuwa anamdhihaki Mwenyezi Mungu tu Period.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…