Safari ya Makamba Wizara ya Nishati, Rushwa, Kuachia ngazi na Mengineyo toka 2010

Safari ya Makamba Wizara ya Nishati, Rushwa, Kuachia ngazi na Mengineyo toka 2010

Ukimuona amekaa, unaweza kudanganyika kwamba juu kuna kitu, lakini ukweli ni mtupu! Huyu si ndiye miaka ya kugombea alikuwa anaombewa pesa za kampeni na dada yake kwa mahawala zake? Yaani dada anaomba pesa kwa mzungu anayejivunia kula uroda naye ili kaka apate pesa za kampeni, na kuahidi kurudisha fadhira! Siyo huyu????? RUBBISH!
Mbona sasa hoja zako hazina muunganiko, kutokuwa na kitu, Dada na Pesa kunaendana vipi na hoja hapa. Au hivi ndivyo unafanya na Dada yako?
 
Akiwekwa mbali na keki ya taifa anaanzisha visa, anadhani hii nchi ni ya ukoo wao lazima awe kiongozi, wale wajumbe wa bodi ya Tanesco aliowateua ameonesha dhahiri nature yake, kuweka marafiki zake ili awe huru kufanya apendavyo bila kupata pingamizi toka kwa members wa bodi.
Hivi wale wajumbe wana vigezo au hawana?
 
Back
Top Bottom