Bado haiondoi umbali.Panda Ally’s luxury coach hutajuta
Umasiki mbaya aisee
Natoka Mwanza naenda Dar hapa ni saa 5 kasoro ndo natoka Shinyanga nimeanza safari saa 1 jioni na hapa nimechoka sana na tunafika Dar kesho saa 7 mchana aisee sijui nitakuwa na hali Gani
Mungu nijalie wakati wa kurudi nipande Air TANZANIA
Ndo ivo hatuna option aiseeMimi nmetoka Dar 2000 naenda Bukoba kwa Bus ya Travel Partner. Ntafika kesho saa 1500. Cwez kulaumu Umaskini cz kusafr na Bus n raha sna.
Siyo mbaya Issa kawaletea Happy Nation mpya mpya huko, safari ya Bus kama una afya nzuri wala hauna haraka binafsi ndo safari nazopenda ilimrad tu upate gari nzuriNiko na happy nation