Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa. Tangu waondoe fastjet kwa sisi walalahoi, mambo yamekuwa magumu sana. Dar- Mwanza parefu sana.Ndo ivo hatuna option aisee
Dar-Bukoba ni safari ndefu mno Kwa bus haifai.
Bus inatakiwa uishie Dodoma
Safari masaa 48 Kwa bus ni mengi mno
Mzee wangu nakukubari sanasafari ndefu unahitaji Kuwa comfortable at least inasaidia
Mkuu ulienda kufanya nini kote huko 😄MalawiKuna kitu inaitwa Nyasa mbamba bay dar
Mbona mgumu wa kuelewa?Panda Ally’s luxury coach hutajuta
Yaani we aacha tu kwa sasa Bukoba to Dar ni laki 8+Shida sirikali yetu inaona mtu kupanda ndege n Ufahali. Wakat kwa nchi nyinyne n jambo la kawaida sana. Wanatakiwa wapunguze code (VAT) kwenye naul za ndege. Hili wote wakaz wa mikoa ya mbali tupande ndege.
Hata kwa usalama, Dodoma to Dar hapafai kwa gari, roho mkononiKweli kabisa. Tangu waondoe fastjet kwa sisi walalahoi, mambo yamekuwa magumu sana. Dar- Mwanza parefu sana.
Bora usafiri hadi Dom upumzike then Uanze tena upya safari baada ya siku moja au 2. Moja kwa moja inatesa sana
wewe kibokoVitu ambavyo napendaga mimi hivyo mkuu, familia nzima wananijua na sio familia tu kwanza ni ukoo mzima wananijua kwamba linapokuja swala la safari hata nikiwa mahututi huwa nahisi kupona ghafla na hata ukiniamsha usiku wa manane sitakua na swali lakuuliza zaidi ya kupack begi langu tuwahi kabla haujagairi 😆😆😆.
Na safari ya kusafiri kufika haraka huwa sioni kama nimesafiri labda iwe ya dharula ila vinginevyo safari yoyote ambayo najua bus linafika kwenye hiyo sehemu huwa naopt kusafiri na bus na kiroho changu kinakua swaaaafi kabisa 😆😆😆.
Hii hali imenipelekea niwe nauliza kwa mtu ambae nataka kuanza nae mahusiano kama anaweza kumudu safari za back to back like tunatoka Dar to kigoma then tunalala tunaamka tunatoka kigoma to mwanza then mwanza to Dar for no reason, akisema hawezi basi hata akiwa ni mrembo kiasi gani namuona kawaida sana 😆😆😆.
Kweli kabisaKweli kabisa. Tangu waondoe fastjet kwa sisi walalahoi, mambo yamekuwa magumu sana. Dar- Mwanza parefu sana.
Bora usafiri hadi Dom upumzike then Uanze tena upya safari baada ya siku moja au 2. Moja kwa moja inatesa sana
Pole sanaUmasiki mbaya aisee,
Natoka Mwanza naenda Dar hapa ni saa 5 kasoro ndiyo natoka Shinyanga nimeanza safari saa 1 jioni na hapa nimechoka sana na tunafika Dar kesho saa 7 mchana aisee sijui nitakuwa na hali gani
Mungu nijalie wakati wa kurudi nipande Air Tanzania
Huo ndio uraibu wangu mkuuwewe kiboko