Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
Pole mkuuUmasiki mbaya aisee,
Natoka Mwanza naenda Dar hapa ni saa 5 kasoro ndiyo natoka Shinyanga nimeanza safari saa 1 jioni na hapa nimechoka sana na tunafika Dar kesho saa 7 mchana aisee sijui nitakuwa na hali gani
Mungu nijalie wakati wa kurudi nipande Air Tanzania
umasikini ni mbaya sana
mkuu utakuwa ulipanda lori. basi likitoka mwanza saa 1 angalau saa tatu na nusu linatakiwa liwe shinyanga
mabasi angalau mazuri ni katarama au Allys na Sama
hayo mengine ni shida