Safari ya Mwanza - Dar Kwa bus ni adhabu

Safari ya Mwanza - Dar Kwa bus ni adhabu

Ni kitu gani na unauza shingapi???
IMG-20240709-WA0000.jpg
asili tangausi. Elfu 5
 
Umasiki mbaya aisee,

Natoka Mwanza naenda Dar hapa ni saa 5 kasoro ndiyo natoka Shinyanga nimeanza safari saa 1 jioni na hapa nimechoka sana na tunafika Dar kesho saa 7 mchana aisee sijui nitakuwa na hali gani

Mungu nijalie wakati wa kurudi nipande Air Tanzania
Mkuu ndio maana kumewekwa madaraja tofauti ktk Mabasi ya Safari hata kwenye Ndege, trni na Meli.
 
Bado haiondoi umbali.
Mwanza-Dar siku hizi pamekuwa parefu tofauti hata zamani. Tulikuwa tunafika siku hiyohiyo kwenye saa 1 jioni au saa2 na Zuberi.
Leo hii masaa yameongezeka, mnasafiri njiani hadi unahisi kizunguzungu.
Ulikuwa bado mtoto mdogo. Sasa umeshakuwa mtu mzima.
 
Umasiki mbaya aisee,

Natoka Mwanza naenda Dar hapa ni saa 5 kasoro ndiyo natoka Shinyanga nimeanza safari saa 1 jioni na hapa nimechoka sana na tunafika Dar kesho saa 7 mchana aisee sijui nitakuwa na hali gani

Mungu nijalie wakati wa kurudi nipande Air Tanzania
Usijali mbunge wako atapanda ndege kukuwakilisha
 
Kwamba zamani kilometa zilikuwa chache na leo zimeongezeka?
Kwanza zamani kwenda Mwanza tulikuwa tunapitia Nairobi !
Mtu unasafiri hadi unajishangaa. Siku hizi naona ni raha sana tuu.
Kilometa hazijapungua wala kuongezeka isipokuwa mwendo umedhibitiwa.
Mi sizungumzii zamani hizo za kupita Nairobi nazungumzia zamani za kupita huku senkenke.
Kwani mtu mwenye gari private anatumia saa ngapi kutoka Dar hadi Mwanza?
 
Back
Top Bottom