ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
- Thread starter
- #81
Ni mzuri lakini usizidi km500Mmenikumbusha kuna siku nilikuwa Arusha nikakutana na watu wanajiandaa kurudi Mbeya. Nikapiga hesabu ya ile trip nikawaonea huruma saana.
Ila kama hauna haraka usafiri wa barabarani ni mzuri mno ukifuatiwa na wa treni.