Nini kimeongeza umbali ?Bado haiondoi umbali.
Mwanza-Dar siku hizi pamekuwa parefu tofauti hata zamani. Tulikuwa tunafika siku hiyohiyo kwenye saa 1 jioni au saa2 na Zuberi.
Leo hii masaa yameongezeka, mnasafiri njiani hadi unahisi kizunguzungu.
Jf kwa ujuaji basi nishawazoea , miaka 12 nipo hum nawaelewa sana vulivyoHii meona sehemu inaongeza libido automatically sio nzuri ni km enhacement drugs (Viagra)
Tena atafute ile anaendesha fundi machejoHata SAMA LUXURY nalo wako vyema sana tena hawafukuzani njiani kabisa
Pole.Mnampa sifa asizostahili kabisa.
Aliyemzaa mtoto na kufariki baada ya miaka 5 na aliyemtoa hapo kwa kumlea kimaadili, kumvisha,kumsomesha,kumuoza,nk nani apewe sifa zaidi?
Magu hata Chalinze angekuwa bado. Srma alikuwa mtu wa kupenda misifa. Sikopiii nje huku anakopa kimya kimyaa
Kazi yake mkuu ina faida zipi???View attachment 3085829asili tangausi. Elfu 5
Halafu Bus seats za Mchina. Warefu wanapata Shida Sana.Ndo ivo hatuna option aisee
Dar-Bukoba ni safari ndefu mno Kwa bus haifai.
Bus inatakiwa uishie Dodoma
Safari masaa 48 Kwa bus ni mengi mno
Ni mfanano wanguHuyo kwenye picha ni wewe?
Sawa. Naomba unitumie DM niione vizuriNi mfanano wangu
Sawa mkuu 👊Mwache asome huyo ni mtoto wa shule
ndio,upo na huwa unashangaza wengiHahahaaaa asante mkuu... bila shaka na wewe unao uraibu wako ambao mimi nikiuskia nitashangaa pia.
Jiwe alizingua sana kuwatoa fastjet.Kwani "ile midege" ya dikteta mwendazake haifanyi kazi tena?
Pole sana...kuna mbinu za kufanya ili safari ndefu iwe enjoyable. Kwanza kwa kuwa huwezi kupanda ndege basi walau panda Bus zuri la Luxury kama Ally's and others. Pili uwe na kitabu kizuri cha kusoma, hard copy au hata soft copy PDF kwenye simu. Kama huwezi kusoma au hupendi kusoma basi andaa movies nzuri kwenye simu yako. Ukitaka safari yoyote iwe boring na ya kuchosha uwe huna kitu cha kufanya. Kumbuka kuna watu wanasafiri kutoka bongo mpaka South Africa kwa Bus.We acha tu mkuu
Ndio makazi yangu ya kudumu huku mkuu..ukiskia safari ya kwenda mwanza au dar huwazii gharama unawazia umbali wa safariMkuu ulienda kufanya nini kote huko 😄Malawi
😆😆uanzishie uzi basi tuujuendio,upo na huwa unashangaza wengi
Aisee...bei yake ikoje mwanawanePanda Ally’s luxury coach hutajuta
siko vizuri sana kwenye fasihi andishi,ningefanya hivyo mkuu😆😆uanzishie uzi basi tuujue
Uko sahihi,route zote ndefu za kuanzia km 700 Kwa basi ni majanga sana.Umasiki mbaya aisee,
Natoka Mwanza naenda Dar hapa ni saa 5 kasoro ndiyo natoka Shinyanga nimeanza safari saa 1 jioni na hapa nimechoka sana na tunafika Dar kesho saa 7 mchana aisee sijui nitakuwa na hali gani
Mungu nijalie wakati wa kurudi nipande Air Tanzania