johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Tumekusikia bwashee!Bora watujengee upya hiyo barabara hasa maeneo ya nangurukuru - somanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumekusikia bwashee!Bora watujengee upya hiyo barabara hasa maeneo ya nangurukuru - somanga
Leta ushaidi.....hatoi fedha za road maintenance. Huwa anapiga porojo nyingi ili aonekane anajali!
Huyi ameshalewa mbege ya sikukuu!Leta ushaidi
Hiyohiyo katiba unayoikosoa ndiyo inatamka kuwa waziri atakoma kuwa waziri Kama atakosa sifa ya kuwa mbunge isipokuwa tu kuvunjwa bunge. Hivo bas nikutaarifu ata Ndugai bado ni Spika wa bunge japokuwa bunge limevunjwa.Hakuna kitu cha ajabu nchini kama Katiba, inasema ili uwe Waziri lazima uwe Mbunge. Bunge lilivunjwa Juni, 28 kwa maana hiyo hakuna Mbunge aliyeadarakani. Sasa hawa mawaziri ni Wabunge kwa mujibu wa katiba ipi!?
Mnae naniKwani tunae rais basi?
Sababu ya kuwa na ulazima wa waziri kuwa mbunge ni moja tuu; ili waweze kuingia Bungeni kujibu hoja na maswali ya waheshimiwa wabunge..Na kama sio mbunge huruhusiwi kukanyaga floor ya Bunge..ndio maana ata AG ni mbunge pia. Mawaziri wa SASA wanaendelea kuwa wasaidizi wa Rais mpaka pale utakapofanyika uteuzi mwingine manake serikali iko active muda wote na haivunjwi kama Bunge.Hakuna kitu cha ajabu nchini kama Katiba, inasema ili uwe Waziri lazima uwe Mbunge. Bunge lilivunjwa Juni, 28 kwa maana hiyo hakuna Mbunge aliyeadarakani. Sasa hawa mawaziri ni Wabunge kwa mujibu wa katiba ipi!?
Bora watujengee upya hiyo barabara hasa maeneo ya nangurukuru - somanga
Pesa ya ujenzi wa km 90 ni zaidi ya b100, unafikiri hizo zinaombwa kwa rais? Hiyo ni bajeti ambayo sharti bunge liidhinishe.Sasa kwenye bajeti pesa ilitengwa kwa ajili ya matengenezo hayo?Na rais hawezi kutoa pesa kama hamjaenda kuomba mzee
Ni kama nchi imeanza kuwepo mwaka jana, kila kitu kimekuwa kipya.Fedha zipo? Pole zao mameneja.
Btw, hivi mawaziri nyazifa zao zinakoma lini? Au mpaka baraza jipya liundwe?
Zile kelele za juzi ilikuwa kuzima maneno Jk aliyo ongea msibani kwa Mh. BenRais Magufuli hatoi fedha za road maintenance. Huwa anapiga porojo nyingi ili aonekane anajali!
Acha kulisha watu matango pori. Bunge limevunjwa rasmi jana ambapo taarifa imetoka katika Gazeti la serikaliHakuna kitu cha ajabu nchini kama Katiba, inasema ili uwe Waziri lazima uwe Mbunge. Bunge lilivunjwa Juni, 28 kwa maana hiyo hakuna Mbunge aliyeadarakani. Sasa hawa mawaziri ni Wabunge kwa mujibu wa katiba ipi!?
Tatizo fedha za maintenance hakuna.Watafukuza sanaWaziri wa ujenzi mh Kamwele amewaondoa madarakani mameneja wa Tanroads wa mikoa ya Lindi na Pwani kufuatia kushindwa kuifanyia matengenezo barabara ya Dar hadi Mtwara.
Maamuzi hayo ya mh Kamwelwe yanafuatia maagizo yaliyotolewa jana na Rais Magufuli ya kutaka hatua zichukuliwe kutikana na ubovu wa barabara alioushuhudia kwenye takribani zaidi ya km 90 .
Source Channel ten
Maendeleo hayana vyama!
Ni utapeli na usanii, wakati huo huo wakiwa mawaziri kupitia ubunge,wamerudi kuomba ridhaa ya kuwa wabunge tena. Yaani kwa kifupi baadhi ya majimbo nafasi ya ubunge na urais inagombewa wakati 'haipo'.Hakuna kitu cha ajabu nchini kama Katiba, inasema ili uwe Waziri lazima uwe Mbunge. Bunge lilivunjwa Juni, 28 kwa maana hiyo hakuna Mbunge aliyeadarakani. Sasa hawa mawaziri ni Wabunge kwa mujibu wa katiba ipi!?
Sio kweli lazima ukubali kuna uzembe wa watendaji haiwezekani barabara inaharibika kiwango kile na wewe upo tu unaamka asubuhi unamuaga mkeo/mumeo unaenda kazini wakati huendi kufanya chochote halafu mnakuja na kisingizio cha kukosa pesa😕Rais Magufuli hatoi fedha za road maintenance. Huwa anapiga porojo nyingi ili aonekane anajali!