Safari ya Rais Ruto nchini Marekani yadaiwa kugharimu Tsh. Bilioni 3.94. Amekodi Ndege kutoka Dubai

Safari ya Rais Ruto nchini Marekani yadaiwa kugharimu Tsh. Bilioni 3.94. Amekodi Ndege kutoka Dubai

Ni ujinga tu.
Kenya Kuna scheduled flight za kwenda states, Kama angelipa nauli Kama ABIRIA kwani angebadilika na kua mwanamke?
After all Biden aliyemualika Ni senile kwa Sasa , yaani hajui atendalo, ataongea nae Nini.?
Kwani MTU ukiwa simple na down to earth, nguvu za kiume zitapungua? Auukitumia pesa kijinga huku watu zaidi ya 200 wamekufa kwa mafuriko, watu 100,000 hawana chakula na mahali pa kukaa utaongezewa nguvu za kiume.
Hata ujenge nyumba ya vyumba kumi, huwezi kuvilalia vyote kwa mpigo.
 
Yani billion 35 madafu wee mwenyewe unaonaaa niii nyiingiii. Thed weld dwellers bana
Inawezekana hujui maana ya hela wewe; unaimba tu. Kama huelewei kuwa bilioni 35 ni zaidi theluthi nzima ya bajeti yote wa Wizara ya Viwanda na biashara kwa mwaka 2024/2025 ambayo ni bilioni 110.9, basi huna authority kujadili lolote kuhusu matumizi ya fedha za serikali.
 
Inawezekana hujui maana ya hela wewe; unaimba tu. Kama huelewei kuwa bilioni 35 ni zaidi theluthi nzima ya bajeti yote wa Wizara ya Viwanda na biashara kwa mwaka 2024/2025 ambayo ni bilioni 110.9, basi huna authority kujadili lolote kuhusu matumizi ya fedha za serikali.
Yani wabongo bana yani hiyo 110.9 billions bajeti ya wizara ya viwanda mwenyewe unaionaa nyingiii . Kweli tumetofautiana. Yani 110.9 billion madaf unaiona nyiiiiingiii. Kammon this is really absurd.

Mindset za kimaskini maskini
 
Yani wabongo bana yani hiyo 110.9 billions bajeti ya wizara ya viwanda mwenyewe unaionaa nyingiii . Kweli tumetofautiana. Yani 110.9 billion madaf unaiona nyiiiiingiii. Kammon this is really absurd.

Mindset za kimaskini maskini
Hata kama unajitangaza kuwa ni tajiri sana na unaweza kutumia b35 bila matatizo, lakini serikali siyo tajiri hivyo kutumia theulithi nzima ya bajeti ya wizara yake kwa safari moja tu ukizingatia kuwa sehemu kubwa ya pesa hizo ni za kukopa.

Halafu wewe unaejitangazia utajiri ni mtu asiyejua pesa kabisa na huenda ni kati ya wale wanaopate pesa za mlo wa siku tu. Mwenye poesa na aneyejua pesa haongei pumba za namna hiyo kuhusu ufujaji wa pesa, hata kama zingefungwa shilingi mia moja tu. Mojawapo wa sifa ya utajiri ni udhibiti wa matumizi yasiyo ya lazima, sifa ambayo umeonyesha huna hata punje yake.
 
Hata kama unajitangaza kuwa ni tajiri sana na unaweza kutumia b35 bila matatizo, lakini serikali siyo tajiri hivyo kutumia theulithi nzima ya bajeti ya wizara yake kwa safari moja tu ukizingatia kuwa sehemu kubwa ya pesa hizo ni za kukopa.

Halafu wewe unaejitangazia utajiri ni mtu asiyejua pesa kabisa na huenda ni kati ya wale wanaopate pesa za mlo wa siku tu. Mwenye poesa na aneyejua pesa haongei pumba za namna hiyo kuhusu ufujaji wa pesa, hata kama zingefungwa shilingi mia moja tu. Mojawapo wa sifa ya utajiri ni udhibiti wa matumizi yasiyo ya lazima, sifa ambayo umeonyesha huna hata punje yake.
Usinichukulie poa bwana mdogo. Ningetamani kukuonyesha ushahidi wa utajiri wangu lakini naogopa utashikwa na presha cardiac arrest wakati wewe kwenye ukoo wenu wanakutegemea ni sole bread winner mshindi mkuu wa mkate.

Usinichukulie poa kabisa bwana mdogo. Kwako hiyo bajet ya wizara ya viwanda unaiona nyiiingiii wakati mimi kwangu ni peanut a drop in the sea. Hela ndogo sana.
 
View attachment 2997012
Imedaiwa kuwa Safari ya siku 4 ya Rais William Ruto ambaye amealikwa na Rais Joe Biden, itagharimu takriban Tsh. Bilioni 3.94 kutokana na uamuzi wa Ikulu ya Kenya kukodi Ndege aina ya Boeing 737-700 kutoka kampuni ya Royal Jet ya Dubai.

Hatua hiyo imeibua mijadala ya nchini humo kwa Wananchi wakihoji sababu za Rais kutotumia Ndege yake maalum ambapo taarifa za masuala ya Usafiri kwa kutumia Ndege ya hadhi hiyo zinadai kwa safari ya kutoka Nairobi hadi Atlanta Marekani itagharimu takriban Tsh. 1,933,916,339.

Hata hivyo, Msemaji wa Serikali, Isaac Mwaura ametetea safari hiyo kwa kueleza kuwa safari ya Rais itakuwa na manufaa kwa Wakulima wakiwemo wa Pareto kwa kuwa watatafutiwa Soko na kuongeza kuwa wanaohoji waache Maswali ya Kipuuzi.

===========

Government Spokesperson Isaac Mwaura has defended the expenditure associated with President William Ruto's four-day State visit to the US, which is estimated to cost taxpayers an upwards of Ksh.200 million in travel expenses alone.

Ruto opted to lease a Boeing 737-700 business jet from the Royal Jet of Dubai for the U.S. trip instead of using his presidential jet, a Fokker 70ER, due to the latter's limited range.

The Abu Dhabi-based airline charges around 18,000 USD per hour (approx. Ksh.2.4 million) to charter the business jet.

A single trip from Nairobi to Atlanta, spanning roughly 18 hours, will cost taxpayers approximately Ksh.98 million. Therefore, a round trip could potentially surpass the Ksh.200 million mark since Ruto also travelled from Atlanta to Washington D.C., a trip spanning two-hours.

The travel expenses will also factor in the time it took the business jet to arrive in Nairobi from Abu Dhabi and vice-versa.

Speaking in Nakuru County on Tuesday, Mwaura was pressed by reporters on the hefty price tag, but he chose to highlight the anticipated benefits of Ruto's trip to the U.S against the costs incurred instead.

"Faida William Ruto atatuletea haitoshi ile mafuta ameenda nayo," said Mwaura.

Citing the potential for increased foreign investments and lucrative trade deals resulting from the State visit to the US, Mwaura argued that the benefits of the trip far outweigh its financial costs.

"Hii pareto inatumika sana kule Marekani kwa hivyo nyinyi wakulima, (Ruto) ameenda kuwataftia soko. Kwa hivyo wewe unauliza maswali haya ...hiyo maswali ni ya kipuzi kabisa. Shindwe wewe ibilisi, pepo mbaya," said Mwaura.

"Rais ameenda kama mzee wa Kenya, kutafuta alafu wewe unauliza fare ni pesa ngapi na akirudi atarudi na zaidi ya hiyo fare mara milioni. Yeye (Ruto) ni Rais wa kwanza ambaye ameitwa kutoka Africa kuenda State visit Marekani."

President William Ruto arrived at Hartsfield Jackson International Airport in Atlanta, Georgia, on Monday afternoon, ahead of a busy four-day visit to the United States.

Among the dignitaries waiting to welcome President Ruto at the airport included Foreign Affairs Principal Secretary Korir Sing'Oei and US Ambassador to Kenya Meg Whitman as well as the Mayor of the City of Atlanta, Andre Dickens.

The first visit by an African leader in 15 years is expected to strengthen ties with the United States of America while also opening doors to investment.

State House Spokesperson Hussein Mohamed announced on Sunday that Ruto will travel from Monday, May 20, to Thursday, May 23, when he will meet with President Joe Biden.
Huyo Ruto ni muendelezo wa Marais wa hovyo waliotokea Upinzani

Zambia
Kenya
Senegal
Malawi
Ghana

Kiufupi Wapinzani Huwa ni empty set
 
Back
Top Bottom