Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Ndugu yetu wacha kuhukumu bila kuwa na uzoefu wowote hasa kwenye upande wa export.
Kwa sasa expert department yetu imejaa ukiritimba wa hali ya juu sana kisa mambo ya siasa zenu za kijinga
Kwa sasa expert department yetu imejaa ukiritimba wa hali ya juu sana kisa mambo ya siasa zenu za kijinga
Fursa zipi ambazo hujaziona ? Mumeshapewa soko kupeleka mihogo china, umefuatilia ? Mnaambia comoro wana uhitaji mkubwa wa bidhaa mf nyama, nafaka nk, zambia, wanahitaji vyakula, sudan nk ni fursa ipi ww unahitaji au ni kulalamika, poor you !!