Safari ya Yanga kuishia kwenye makundi?, Mc Alger na Al Hilal zitasonga mbele Robo fainali?

Baada ya ushindi wa Yanga jana ugenini- Uwezekano wa kushinda mechi iliyosalia nyumbani ni 90% na hivyo kutinga hatua inayofuata ya robo fainali. Kila la heri watani wa jadi.
 
KOLO MUHAN.
 
Tunataka pwenri 3 Jumamosi.....piga ua lazima .......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…