Safari ya Yanga kuishia kwenye makundi?, Mc Alger na Al Hilal zitasonga mbele Robo fainali?

Safari ya Yanga kuishia kwenye makundi?, Mc Alger na Al Hilal zitasonga mbele Robo fainali?

Yanga anaweza kukaza tu, sema kumaliza kwenye nafasi mbili za juu bado ni kitendawili kwao.Bado akiwin game zake mbili inabidi kuomba pia Mazembe amfanyie wepesi kwa Mc Alger tabu tupu
Sasa ana win game mbili halafu amuombe Tp Mazembe amfanyie wepesi ili iweje? Walati hapo kuwin tu mechi mbili ni tiketi ya Yanga kufuzu
 
Yanga akishinda mechi zake wala haihataji ikawa hivi, ikawa vile kwasababu automatically Mc Alger watakuwa wamepoteza point 3
Upo sawa, Ingawa Alger ana nafasi zaidi kuliko Yanga.

Yanga ina p4. Alger ina p5. Point zilizobaki ni 6. Alger anahitaji 4 na Yanga anahitaji 6. Akizikosa hizo 4 basi aingie kwenye hesabu za Yanga kupoteza au kudraw kutegemeana na katika hizo 4 kapoteza ngapi. Yanga yeye hana option zaidi ya kumfunga Alger na Hilal.
 
Sasa ana win game mbili halafu amuombe Tp Mazembe amfanyie wepesi ili iweje? Walati hapo kuwin tu mechi mbili ni tiketi ya Yanga kufuzu
Nlichanganya madesa kidogo hapa Yanga akiwin game mbili anafuzu anakuwa na 10 huku Mc Alger anabaki na point 5 au 8 kutegemea game yao na Mazembe pia
 
Nlichanganya madesa kidogo hapa Yanga akiwin game mbili anafuzu anakuwa na 10 huku Mc Alger anabaki na point 5 au 8 kutegemea game yao na Mazembe pia
Kabisa. Ye Yanga ashinde mechi zake tu.
 
Upo sawa, Ingawa Alger ana nafasi zaidi kuliko Yanga.

Yanga ina p4. Alger ina p5. Point zilizobaki ni 6. Alger anahitaji 4 na Yanga anahitaji 6. Akizikosa hizo 4 basi aingie kwenye hesabu za Yanga kupoteza au kudraw kutegemeana na katika hizo 4 kapoteza ngapi. Yanga yeye hana option zaidi ya kumfunga Alger na Hilal.
Yanga kama akidroo na Al Hilal then akishinda na MC ushindi wa tofauti ya goli tatu anafuzu.

Hii mechi kama MC Alger angeshinda nafasi ingekuwa finyu sana,ila kwa sasa kimahesabu hata Mazembe ananafasi kushika nafasi ya pili.
 
Yanga anaweza kukaza tu, sema kumaliza kwenye nafasi mbili za juu bado ni kitendawili kwao.Bado akiwin game zake mbili inabidi kuomba pia Mazembe amfanyie wepesi kwa Mc Alger tabu tupu
Mkuu kwanini ulikimbia hesabu darasani ? Yanga akishinda game zake mbili hamtegemei mtu anapita moja kwa moja, mbona hakuna CALCULUS hapo imekushindaje hesabu ya kutoa na kujumlisha mkuu ?
 
Back
Top Bottom