Holly Star
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 4,327
- 8,142
- Thread starter
- #41
Huo mwanga mtu akipiga full na wewe piga full atleast uweze kuongeza distance ya kuona ila wakati huo concwntrate na line ya katikati hakikisha hauko karibu nayo wala mbali nayo. Huku ukiwa very conscious na viraka hasa tyre ya kushoto mkuu. Ila vinginevyo mtu akija na full light usiku huwa tuna assume tu huku ukijianda kwa kishindoHalafu mimi nikiendeshaga usiku, mfano napotoka Bunju kwa demu wangu narudi Makongo Juu...
Napopishana na magari, ule mwanga wa Headlights huwa ukinipiga machoni, nashindwa kabisa kuona mbele.
Sasa najiuliza nitaweza kweli kusafiri usiku kwenda kwetu Mwanza!