Safari yangu ya kuikabili hofu ya kupima VVU Na majibu baada ya miaka mingi ya kuruka na madada poa

Safari yangu ya kuikabili hofu ya kupima VVU Na majibu baada ya miaka mingi ya kuruka na madada poa

Hofu ndio muuaji mkuu, hofu huua tena vibaya mno...wengi mitaani hufa na hofu.
 
Huyu kama anawavuta hivi et zote negative jichanganyeni ukigusa kavi imoo na gono juu

Tupime
Ipo hivi kuna vitu inabidi wewe usikilize roho yako mimi binafsi si muhumini wakutumia kinga kabisa na kitu maradhi uwa sihofii hata chembe.

Kuna ndugu yangu kabisaa yeye ni muhumini sana wa hizi kinga tukiwa tunapoza moyo na uwa ananishangaa sana, sasa sad story siku hiyo tupo wote tukakutana na demu mkali na anashepu nikamvaa mm kimasihara tu na vile pombe kichwani na yule demu alikuwa kama anastress fulan sikumuwekea maani sana inshort nahisi akanoti hyo kitu demu akatoa jb la dharau sn.

Yule ndugu yangu akavaa ujasiri kwa hasira akaenda kumla kwann hatuletee dharau binafsi mm niliishia kucheka na kwakuwa sikuwa na nia nae nkampotezea aisee kumbe jamaa kaenda kamla bila kinga asubuhi kaamka anakojoa damu na maumivu.
 
kihe

kiherehere matrako yako hukutumwa utuelezee ulivokua unachezesha kiuno ww ungeukwaa kiherehere kingekuisha
Aise samahani nilipo ona neno "Matrako" ndo nmegundua wewe ni mtoto wa kike, huwa sibishani na watoto wa kike, nisamehe madam
 
Shukuru Mungu umetoka salama, ngoma ipo vaa gwanda ujikinge...
 
Ipo hivi kuna vitu inabidi wewe usikilize roho yako mimi binafsi si muhumini wakutumia kinga kabisa na kitu maradhi uwa sihofii hata chembe.

Kuna ndugu yangu kabisaa yeye ni muhumini sana wa hizi kinga tukiwa tunapoza moyo na uwa ananishangaa sana, sasa sad story siku hiyo tupo wote tukakutana na demu mkali na anashepu nikamvaa mm kimasihara tu na vile pombe kichwani na yule demu alikuwa kama anastress fulan sikumuwekea maani sana inshort nahisi akanoti hyo kitu demu akatoa jb la dharau sn.

Yule ndugu yangu akavaa ujasiri kwa hasira akaenda kumla kwann hatuletee dharau binafsi mm niliishia kucheka na kwakuwa sikuwa na nia nae nkampotezea aisee kumbe jamaa kaenda kamla bila kinga asubuhi kaamka anakojoa damu na maumivu.
Wakati mwingine maisha huendeshwa na bahati, kuna mda moyo unakataa kabisa, imewah kunitokea pia, nipo lodge tena hakuwa dada poa, alikuwa pisi nzuri tu ila tokea tumefika tumepiga story ghafla moyo ukawa mzito kupiga nae show, kiukwel ilitokea vita kubwa kati ya nafsi na mwili kukubali kutokumla, mwisho wa siku nilijifanya napokea simu ya dharura mpaka leo sikuwahi kumla, na sikujua kwann moyo ulikuwa mzito sana
 
Back
Top Bottom