GwaB
JF-Expert Member
- Mar 19, 2014
- 4,291
- 5,786
Amani iwe kwenu wadau wa JF.
Leo ndio siku niliyopanga kuanza kuiunga mkono Air Tanzania katika safari zangu zote za anga nitakazofanya katika maisha yangu yaliyobaki. Leo naelejea Geita, pamoja na kwamba naenda kwenye msiba, nimepata nafasi ya kujaribu ufanisi wa Shirika letu na kuliunga mkono na sitaki kusikia wanapata kingine zaidi ya mafanikio.
Hadi kufikia muda huu mambo yote naona yanaenda sawa, tiketi nimenunua mtandaoni na hivi ninapoandika nasubiri kupanda TC 131 na abiria wako wengi kiasi,lakini nitaangalia kama imejaa na safari yote nitaleta mrejesho.
Nina mipango zaidi ya kuruka na Air Tanzania kuelekea Entebbe, Lusaka, Moroni na Harare lakini zaidi najipanga na Guangzhou ambayo inaahirishwa labda kuningoja mimi.
Muda wa kupanda ndege umewadia.... Nitaleta mrejesho baada ya kuruka Czesc!.
Leo ndio siku niliyopanga kuanza kuiunga mkono Air Tanzania katika safari zangu zote za anga nitakazofanya katika maisha yangu yaliyobaki. Leo naelejea Geita, pamoja na kwamba naenda kwenye msiba, nimepata nafasi ya kujaribu ufanisi wa Shirika letu na kuliunga mkono na sitaki kusikia wanapata kingine zaidi ya mafanikio.
Hadi kufikia muda huu mambo yote naona yanaenda sawa, tiketi nimenunua mtandaoni na hivi ninapoandika nasubiri kupanda TC 131 na abiria wako wengi kiasi,lakini nitaangalia kama imejaa na safari yote nitaleta mrejesho.
Nina mipango zaidi ya kuruka na Air Tanzania kuelekea Entebbe, Lusaka, Moroni na Harare lakini zaidi najipanga na Guangzhou ambayo inaahirishwa labda kuningoja mimi.
Muda wa kupanda ndege umewadia.... Nitaleta mrejesho baada ya kuruka Czesc!.