Safari yangu ya utafutaji wa ajira

Safari yangu ya utafutaji wa ajira

Ha slaka

Member
Joined
Mar 14, 2018
Posts
29
Reaction score
31
Habari wana JF

July 2021 nilikuja humu kwa wana JF nikiwa natafuta kazi Click here for the reference. Nataka kushare na nyie wadau mambo niliyojifunza katika utafutaji wangu wa ajira, pengine kuna mtu itamsaidia hasa sisi tusiokuwa na connection.

Kuna post ya mdau hapa JF niliiona ilikuwa inaelezea namna gani Linkedin inavyoweza kukusaidia kupata ajira, wakati huo mimi hata siijui linkedin. Ilibidi nianze kuifatilia Linkedin Youtube ili kujua namna gani ambavyo inaweza kunisaidia kupata kazi ya ndoto yangu. Baada ya kujiunga Linkedin Kitu cha kwanza kufanya nilianza kujiconnect na HRs, Managers CEO wa companies nazotaka kufanya kazi bila kusahau nilijiconnect na watu wa kada yangu. Kwa wakati huo huo natafuta kazi nilikuwa pia najisomea mambo ninayoyapenda katika Electrical Engineering ili ikitokea nimeitwa kwenye interview niwe tofauti na candidates wengine.

Nilianza kuwatafuta Inbox kila mtu niliyeona anaweza kunisaidia kupata kazi wakiwemo hao Managers, HRs etc. Kuna wengine wanakujibu na wengine wanapiga kimya. Sometimes inakatisha tamaa ila inabidi upambane tu. Kuna siku niliona message kwenye Inbox yangu, ile kuifungua tu nilikuwa nimeambiwa nimeiforward CV yako kwa Boss wangu (Mungu amlipe mema sana huyo mtu aliyenisaidia). Nilipata kazi kwenye hiyo company na ilikuwa ni international company na inadeal na mambo ninayoyapenda. Tokea hapo safari yangu ya ajira imekuwa nzuri sana. Hapa ninapofanya kazi ni company yangu ya 3+.

Mambo niliyojifunza:-

1. Kwanza Muombe Mungu sana kwenye safari yako ya ajira. Hili ni la msingi kuliko yote.

2. Kwa wanafunzi, Jitahidi ukiwa chuo usome kwa baidii, uelewe unachokisomea na upate GPA kubwa. Hii GPA kubwa inatakusaidia kuomba nafasi za Graduate program ambazo nyingi kigezo moja wapo ni GPA nzuri.

3. Hii pia ni kwa wanafunzi. Wakati unaenda field, jitahidi uchague sehem nzuri ya field ambayo utaweza kujifunza na kupata connection na usizembee kujifunza. Mimi ilinicost hii nilikuwa nachagua TANESCO halaf hata field siendi.

4. Ukishapata kazi jitahidi kujiongeza ujuzi ikiwa pamoja na kupata professional certificate. Hii itakusaidia kwenye kutafuta kazi sehem nyingine na kuendana pamoja na technology

Mengine ni namna gani unaweza kukua ki professional na mkwanja😀 ila haya yapo nje na mada.

Nawakaribisha wadau kwa kushare experience zenu. Zitatusaidia zaidi kukua.
 
Habari wana JF

July 2021 nilikuja humu kwa wana JF nikiwa natafuta kazi Click here for the reference. Nataka kushare na nyie wadau mambo niliyojifunza katika utafutaji wangu wa ajira, pengine kuna mtu itamsaidia hasa sisi tusiokuwa na connection.

Kuna post ya mdau hapa JF niliiona ilikuwa inaelezea namna gani Linkedin inavyoweza kukusaidia kupata ajira, wakati huo mimi hata siijui linkedin. Ilibidi nianze kuifatilia Linkedin Youtube ili kujua namna gani ambavyo inaweza kunisaidia kupata kazi ya ndoto yangu. Baada ya kujiunga Linkedin Kitu cha kwanza kufanya nilianza kujiconnect na HRs, Managers CEO wa companies nazotaka kufanya kazi bila kusahau nilijiconnect na watu wa kada yangu. Kwa wakati huo huo natafuta kazi nilikuwa pia najisomea mambo ninayoyapenda katika Electrical Engineering ili ikitokea nimeitwa kwenye interview niwe tofauti na candidates wengine.

Nilianza kuwatafuta Inbox kila mtu niliyeona anaweza kunisaidia kupata kazi wakiwemo hao Managers, HRs etc. Kuna wengine wanakujibu na wengine wanapiga kimya. Sometimes inakatisha tamaa ila inabidi upambane tu. Kuna siku niliona message kwenye Inbox yangu, ile kuifungua tu nilikuwa nimeambiwa nimeiforward CV yako kwa Boss wangu (Mungu amlipe mema sana huyo mtu aliyenisaidia). Nilipata kazi kwenye hiyo company na ilikuwa ni international company na inadeal na mambo ninayoyapenda. Tokea hapo safari yangu ya ajira imekuwa nzuri sana. Hapa ninapofanya kazi ni company yangu ya 3+.

Mambo niliyojifunza:-

1. Kwanza Muombe Mungu sana kwenye safari yako ya ajira. Hili ni la msingi kuliko yote.

2. Kwa wanafunzi, Jitahidi ukiwa chuo usome kwa baidii, uelewe unachokisomea na upate GPA kubwa. Hii GPA kubwa inatakusaidia kuomba nafasi za Graduate program ambazo nyingi kigezo moja wapo ni GPA nzuri.

3. Hii pia ni kwa wanafunzi. Wakati unaenda field, jitahidi uchague sehem nzuri ya field ambayo utaweza kujifunza na kupata connection na usizembee kujifunza. Mimi ilinicost hii nilikuwa nachagua TANESCO halaf hata field siendi.

4. Ukishapata kazi jitahidi kujiongeza ujuzi ikiwa pamoja na kupata professional certificate. Hii itakusaidia kwenye kutafuta kazi sehem nyingine na kuendana pamoja na technology

Mengine ni namna gani unaweza kukua ki professional na mkwanja😀 ila haya yapo nje na mada.

Nawakaribisha wadau kwa kushare experience zenu. Zitatusaidia zaidi kukua.
Mbona hayo yote ni ya kawaida vitu muhimu hujataja, kazi unao fanya usaili, mshahara kozi ilizo soma badaye nk......
 
Can you tell us moral of you story...?
Au mm ndo sjaelewa...?
Binafsi nilitegemea kuona zaidi ya haya uliyoandika...
Nwei
Hogera kwa kupata kazi...
 
Mbona hayo yote ni ya kawaida vitu muhimu hujataja, kazi unao fanya usaili, mshahara kozi ilizo soma badaye nk......
Kwako yanaweza kuwa ya kawaida na kwa mwingine yasiwe ya kawaida.

Kazi ninayofanya, kampuni, mshahara hayo ni personal siwezi kusema na halikuwa lengo la hee thread.
 
Habari wana JF

July 2021 nilikuja humu kwa wana JF nikiwa natafuta kazi Click here for the reference. Nataka kushare na nyie wadau mambo niliyojifunza katika utafutaji wangu wa ajira, pengine kuna mtu itamsaidia hasa sisi tusiokuwa na connection.

Kuna post ya mdau hapa JF niliiona ilikuwa inaelezea namna gani Linkedin inavyoweza kukusaidia kupata ajira, wakati huo mimi hata siijui linkedin. Ilibidi nianze kuifatilia Linkedin Youtube ili kujua namna gani ambavyo inaweza kunisaidia kupata kazi ya ndoto yangu. Baada ya kujiunga Linkedin Kitu cha kwanza kufanya nilianza kujiconnect na HRs, Managers CEO wa companies nazotaka kufanya kazi bila kusahau nilijiconnect na watu wa kada yangu. Kwa wakati huo huo natafuta kazi nilikuwa pia najisomea mambo ninayoyapenda katika Electrical Engineering ili ikitokea nimeitwa kwenye interview niwe tofauti na candidates wengine.

Nilianza kuwatafuta Inbox kila mtu niliyeona anaweza kunisaidia kupata kazi wakiwemo hao Managers, HRs etc. Kuna wengine wanakujibu na wengine wanapiga kimya. Sometimes inakatisha tamaa ila inabidi upambane tu. Kuna siku niliona message kwenye Inbox yangu, ile kuifungua tu nilikuwa nimeambiwa nimeiforward CV yako kwa Boss wangu (Mungu amlipe mema sana huyo mtu aliyenisaidia). Nilipata kazi kwenye hiyo company na ilikuwa ni international company na inadeal na mambo ninayoyapenda. Tokea hapo safari yangu ya ajira imekuwa nzuri sana. Hapa ninapofanya kazi ni company yangu ya 3+.

Mambo niliyojifunza:-

1. Kwanza Muombe Mungu sana kwenye safari yako ya ajira. Hili ni la msingi kuliko yote.

2. Kwa wanafunzi, Jitahidi ukiwa chuo usome kwa baidii, uelewe unachokisomea na upate GPA kubwa. Hii GPA kubwa inatakusaidia kuomba nafasi za Graduate program ambazo nyingi kigezo moja wapo ni GPA nzuri.

3. Hii pia ni kwa wanafunzi. Wakati unaenda field, jitahidi uchague sehem nzuri ya field ambayo utaweza kujifunza na kupata connection na usizembee kujifunza. Mimi ilinicost hii nilikuwa nachagua TANESCO halaf hata field siendi.

4. Ukishapata kazi jitahidi kujiongeza ujuzi ikiwa pamoja na kupata professional certificate. Hii itakusaidia kwenye kutafuta kazi sehem nyingine na kuendana pamoja na technology

Mengine ni namna gani unaweza kukua ki professional na mkwanja😀 ila haya yapo nje na mada.

Nawakaribisha wadau kwa kushare experience zenu. Zitatusaidia zaidi kukua.
Asante sana kwa elimu hii nzuri
 
Back
Top Bottom