Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa mbona anasafiri sana nchi za watu? Kila siku ye yupo angani tu anabadilisha flights kama dala dala, mara UK, Sweden, south Africa, na mara nyingi zinakua safari binafsi, anapata wapi pesa zote hizo?![]()
Na wewe safiri mkuu ukijaji anapata wapi pesa huwez pata jibuHuyu jamaa mbona anasafiri sana nchi za watu? Kila siku ye yupo angani tu anabadilisha flights kama dala dala, mara UK, Sweden, south Africa, na mara nyingi zinakua safari binafsi, anapata wapi pesa zote hizo?![]()
Maulidi nenda baba hata Mimi ningekuwa nazo kila wiki nasepa Tanzania pamekuwa pa kutekwaHuyu kaona kukaa bongo ni sawa na kukaa ndani ya Lori. Muache apaeee
Utafikiri una viashiria vya wale aina j.dlcious..kwa tamko lako hiloHalafu simpendi huyu jamaa!
Ewah! Jitahidi na wewe!Mleta mada Fanya juhudi nawe uwe unapaa !! Usichunguze vya watu mtindo wa awamu ya tano !!!
Nae eddo kumwembeJamaan wabongo vp
Huyo maulid ,,kibonde ,wamepata kaz dstv kwa siku za weekend kwenda kuchambua soka kwenye dstv kwa lugha ya kiswahili sasa kila ijumaa wanaenda south na jpili wanarud bongo kuendelea na kazi ,na dstv wanavuta mkwanja mrefu sana ,tuwape support ndugu zetu tusiwafikilie vibaya wanafanya kaz
Wala yeye haelewi kuwa humpendi na maisha yake yanaendelea kama kawaida.Halafu simpendi huyu jamaa!
Kula ndimuHalafu simpendi huyu jamaa!
Nina ubuyu wake sijui niumwage tusherekee pasaka vizuri, lol
Halafu simpendi huyu jamaa!
Ana janamke moja kubwa kwa umbo na umri kama mamake ndo anaenda kulitembelea