Safari za Rais Samia Nje ya Nchi zimekuwa zenye mafanikio makubwa sana, ni muwindaji mwenye shabaha aingiapo mawindoni

watu dizaini ya mtoa mada ni shaba tu, hapo tutasogea
Na watu aina yako hawafai kuwa viongozi maana utaua wote wanaokupinga na kukukosoa, ndio maana CCM Inaendelea kuaminika na watanzania kwa usikivu wake
 
Nikukumbushe tu Deni la taifa ni 71.5 bilioni
 
Umasikini, Maradhi na ujinga bado tatizo Tanzania
 
Nyuzi za kipuuzi kama hizi nimeziona sana leo, sijajua waleta mada kama washakula buku saba kutoka lumumba
 
shuzi limepata mjambaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…