britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Ninezipata sehemu
Kufuatia watu kumwangusha mkuu kwa sekta mbali mbali kuanzia
1. Ubalozi
2. Uwaziri
3. Ukatibu Mkuu
4. Ukuu wa mkoa
5. Ukuu wa wilaya,
Sekta hizo zitaguswa sana, watapukutika watu kibao, tunaanza na kanda ya hapo juu kuna wawili wanalazimika kukalishwa chini,
Hii imetokana na yafuatayo
Matamko yanayokinzana na serikali,
Matamko yanayodhihaki na kudhalilisha wengine
Utendaji mbovu unaokwamisha serikali ya viwanda,
Yaan Ole wako uwe umeshawashiwa indicator na msemaji fulani mwenye magazeti yake,
Stay tuned mwingine anaondoka kesho jioni
UPDATE
Kaimu Mkurugenzi Mkuu COASCO atumbuliwa rasmi. - JamiiForums
UPDATE
Rais Magufuli afanya mabadiliko Baraza la Mawaziri; Mwijage nje, Waitara ndani - JamiiForums
Waziri mwijage nje
Charles Tizeba nje
Kufuatia watu kumwangusha mkuu kwa sekta mbali mbali kuanzia
1. Ubalozi
2. Uwaziri
3. Ukatibu Mkuu
4. Ukuu wa mkoa
5. Ukuu wa wilaya,
Sekta hizo zitaguswa sana, watapukutika watu kibao, tunaanza na kanda ya hapo juu kuna wawili wanalazimika kukalishwa chini,
Hii imetokana na yafuatayo
Matamko yanayokinzana na serikali,
Matamko yanayodhihaki na kudhalilisha wengine
Utendaji mbovu unaokwamisha serikali ya viwanda,
Yaan Ole wako uwe umeshawashiwa indicator na msemaji fulani mwenye magazeti yake,
Stay tuned mwingine anaondoka kesho jioni
Pia Magufuli ni mchapakazi sana.Nadhani
Huyu akiwa Rais Tanzania basi tutakua tumepiga hatua maanake ana kaudikteta flani hivi ambako watanzania wanakahitaji ili wafanye kazi
UPDATE
Kaimu Mkurugenzi Mkuu COASCO atumbuliwa rasmi. - JamiiForums
UPDATE
Rais Magufuli afanya mabadiliko Baraza la Mawaziri; Mwijage nje, Waitara ndani - JamiiForums
Waziri mwijage nje
Charles Tizeba nje