Tetesi: Safisha safisha yaanza serikalini na idara zake

Tetesi: Safisha safisha yaanza serikalini na idara zake

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Ninezipata sehemu
Kufuatia watu kumwangusha mkuu kwa sekta mbali mbali kuanzia

1. Ubalozi
2. Uwaziri
3. Ukatibu Mkuu
4. Ukuu wa mkoa
5. Ukuu wa wilaya,

Sekta hizo zitaguswa sana, watapukutika watu kibao, tunaanza na kanda ya hapo juu kuna wawili wanalazimika kukalishwa chini,

Hii imetokana na yafuatayo
Matamko yanayokinzana na serikali,
Matamko yanayodhihaki na kudhalilisha wengine
Utendaji mbovu unaokwamisha serikali ya viwanda,
Yaan Ole wako uwe umeshawashiwa indicator na msemaji fulani mwenye magazeti yake,

Stay tuned mwingine anaondoka kesho jioni


Pia Magufuli ni mchapakazi sana.Nadhani
Huyu akiwa Rais Tanzania basi tutakua tumepiga hatua maanake ana kaudikteta flani hivi ambako watanzania wanakahitaji ili wafanye kazi

UPDATE

Kaimu Mkurugenzi Mkuu COASCO atumbuliwa rasmi. - JamiiForums

UPDATE
Rais Magufuli afanya mabadiliko Baraza la Mawaziri; Mwijage nje, Waitara ndani - JamiiForums

Waziri mwijage nje
Charles Tizeba nje
 
Ninezipata sehemu
Kufuatia watu kumwangusha mkuu kwa sekta mbali mbali kuanzia

1.Ubalozi
2. Uwaziri
3. Ukatibu Mkuu
4. Ukuu wa mkoa
5. Ukuu wa wilaya,

Sekta hizo zitaguswa sana, watapukutika watu kibao, tunaanza na kanda ya hapo juu kuna wawili wanalazimika kukalishwa chini,

Hii imetokana na yafuatayo
Matamko yanayokinzana na serikali,
Matamko yanayodhihaki na kudhalilisha wengine
Utendaji mbovu unaokwamisha serikali ya viwanda,
Yaan Ole wako uwe umeshawashiwa indicator na msemaji fulani mwenye magazeti yake,

Stay tuned mwingine anaondoka kesho jioni
Kama Bashite hajaguswa hayo yote maigizo tu.
 
Mkuu nauona mwisho wake
Kwa sasa hata Bashite akiondolewa, itakuwa ni "delayed reaction", Jiwe ataonekana kamtoa kwa pressure ya watu tu, si kwa kufuata kanuni yeye mwenyewe.

Bashite alitakiwa kuondolewa zamani sana, na issue ya makontena Dr. Mpango alicheza karata fresh sana, kama professional, kakipaka, halafu rais akawa anasuasua.

Tukaona kumbe huyu ukali wake wote huwa ana watu wake ananywea.

Pale Magu alionekana bonge la mzushi.

Kwa hiyo kwa sasa hivi hata Bashite akitolewa, itaonekana kwa shingo upande tu.

Yule Mama Anna Kilango Malecela katolewa ukuu wa mkoa kwa kusematu mkoa wake hauna wafanyakazi hewa,kitu ambacho mtu anaweza kuwa kaghafilika, sas huyu Bashite kadanganya mambo ya kodi, kavamia radio station, kafanya madudu kibao.

Anapeta tu!
 
Tatizo kubwa na Pogba mwenyewe, angefuata utawala wa sheria na kuzingatia haki za binadamu tusingekuwa hapa tulipo. Aangalie asijekuweka Historia mbaya kuliko watangulizi wake.
Ninezipata sehemu
Kufuatia watu kumwangusha mkuu kwa sekta mbali mbali kuanzia

1.Ubalozi
2. Uwaziri
3. Ukatibu Mkuu
4. Ukuu wa mkoa
5. Ukuu wa wilaya,

Sekta hizo zitaguswa sana, watapukutika watu kibao, tunaanza na kanda ya hapo juu kuna wawili wanalazimika kukalishwa chini,

Hii imetokana na yafuatayo
Matamko yanayokinzana na serikali,
Matamko yanayodhihaki na kudhalilisha wengine
Utendaji mbovu unaokwamisha serikali ya viwanda,
Yaan Ole wako uwe umeshawashiwa indicator na msemaji fulani mwenye magazeti yake,

Stay tuned mwingine anaondoka kesho jioni
 
Bashite ni untouchable, siamini kama anayofanya bashite hayana baraka za mzee. Nshu ya kuvamia Clouds ilitosha kumuondoa kazin. Jambo moja ambalo mzee hafahamu au halipi uzito, in political arena you have to sacrifice anyone to save your credibility. Haikuwa rahisi kwa JK kukubali Lowassa akae pembeni 2008.
Kwa sasa hata Bashite akiondolewa, itakuwa ni "delayed reaction", Jiwe ataonekana kamtoa kwa pressure ya watu tu, si kwa kufuata kanuni yeye mwenyewe.

Bashite alitakiwa kuondolewa zamani sana, na issue ya makontena Dr. Mpango alicheza karata fresh sana, kama professional, kakipaka, halafu rais akawa anasuasua.

Tukaona kumbe huyu ukali wake wote huwa ana watu wake ananywea.

Pale Magu alionekana bonge la mzushi.

Kwa hiyo kwa sasa hivi hata Bashite akitolewa, itaonekana kwa shingo upande tu.

Yule Mama Anna Kilango Malecela katolewa ukuu wa mkoa kwa kusematu mkoa wake hauna wafanyakazi hewa,kitu ambacho mtu anaweza kuwa kaghafilika, sas huyu Bashite kadanganya mambo ya kodi, kavamia radio station, kafanya madudu kibao.

Anapeta tu!
 
Back
Top Bottom