Wasiojulikana wanakuhusu utaki ugari wwMa RC na ma DC wameota sana mapembe inabidi yakatwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasiojulikana wanakuhusu utaki ugari wwMa RC na ma DC wameota sana mapembe inabidi yakatwe
Please ukiipandisha nitag.Nina clip ya sky news ninashindwa kuipandisha mabeberu wamemchana governor of Dar Es Salaam
Bashite, mnyeti na yule DC wa Tarime wakipona kwenye hilo fagio la chuma hilo zoezi litahesabika kama zoezi feki na batili kabsaMa RC na ma DC wameota sana mapembe inabidi yakatwe
Bashite Arbary Daudi haguswi mileleMmh...ngoja tuone..kuna viongozi sijui wanachambia vanilla hata wafanyaje wapo tuu,itakuwa watam sana asee..hasa DAB
Tayari balozi mmoja kashatenguliwa huko aliko tengeneza ndegeNgoja tuone, kesho jioni sio mbali.
Wanaweza wasiguswe mnyeti siku hizi kapoaBashite, mnyeti na yule DC wa Tarime wakipona kwenye hilo fagio la chuma hilo zoezi litahesabika kama zoezi feki na batili kabsa
Atakuwa na utam wa pekee...Bashite Arbary Daudi haguswi milele
Hahaaaaa hawawezi kunipata bwana hukuWasiojulikana wanakuhusu utaki ugari ww
Hahaaaaa eti wanachambia hamira comment yako imenifuraisha sana lohMmh...ngoja tuone..kuna viongozi sijui wanachambia vanilla hata wafanyaje wapo tuu,itakuwa watam sana asee..hasa DAB
Jamani itume tuoneInakataa
DuhNinezipata sehemu
Kufuatia watu kumwangusha mkuu kwa sekta mbali mbali kuanzia
1.Ubalozi
2. Uwaziri
3. Ukatibu Mkuu
4. Ukuu wa mkoa
5. Ukuu wa wilaya,
Sekta hizo zitaguswa sana, watapukutika watu kibao, tunaanza na kanda ya hapo juu kuna wawili wanalazimika kukalishwa chini,
Hii imetokana na yafuatayo
Matamko yanayokinzana na serikali,
Matamko yanayodhihaki na kudhalilisha wengine
Utendaji mbovu unaokwamisha serikali ya viwanda,
Yaan Ole wako uwe umeshawashiwa indicator na msemaji fulani mwenye magazeti yake,
Stay tuned mwingine anaondoka kesho jioni
Naogopa kukupoteza hao noma sanaHahaaaaa hawawezi kunipata bwana huku
Ni swala la kusoma alama za nyakati na kujua nini kitatokea.Nawe umeyajua
Vanilla shosti na chocolate hata wafanyaje hawatumbuliwi...Hahaaaaa eti wanachambia hamira comment yako imenifuraisha sana loh
Akimtoa sasa hivi itaonekana mzee kanywea kwa mabeberu..