Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
bado Bashite roho ya paka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa iringa
Haiwezi tokea , hzi ni ndoto za alinacha..Mkuu nauona mwisho wake
Yeshatimae yametimia wakuuu
Unakosea wakulaumiwa ni wanaomletea majina ateue au huwajui wazee wa vetting?
NdioUnajua maana ya kuwa kiongozi mkuu?
Ndio
Inafurahisha maana ma home boy ndio wanao muangusha jamaa.Ninezipata sehemu
Kufuatia watu kumwangusha mkuu kwa sekta mbali mbali kuanzia
1. Ubalozi
2. Uwaziri
3. Ukatibu Mkuu
4. Ukuu wa mkoa
5. Ukuu wa wilaya,
Sekta hizo zitaguswa sana, watapukutika watu kibao, tunaanza na kanda ya hapo juu kuna wawili wanalazimika kukalishwa chini,
Hii imetokana na yafuatayo
Matamko yanayokinzana na serikali,
Matamko yanayodhihaki na kudhalilisha wengine
Utendaji mbovu unaokwamisha serikali ya viwanda,
Yaan Ole wako uwe umeshawashiwa indicator na msemaji fulani mwenye magazeti yake,
Stay tuned mwingine anaondoka kesho jioni
UPDATE
Kaimu Mkurugenzi Mkuu COASCO atumbuliwa rasmi. - JamiiForums
UPDATE
Rais Magufuli afanya mabadiliko Baraza la Mawaziri; Mwijage nje, Waitara ndani - JamiiForums
Waziri mwijage nje
Charles Tizeba nje
July majuzi kabadili madc na marc wawaza ateue Tena??
MhPM nae hana muda sana
hahaTembeeni vifua mbele
Mkuu huko hakupagusasure, kuna kitu hakiko sawa awaondoe na hapo hazina pia awatazame wale wa mifuko ya hifadhi ya jamii pote kuna tatizo bila kusahau BRELA na TIC wote wanasuasua sana.
bado Bashite roho ya paka
Haswa ndio target wa hilo movieKama Bashite hajaguswa hayo yote maigizo tu.
Ma RC na ma DC wameota sana mapembe inabidi yakatwe
Ma RC na ma DC wameota sana mapembe inabidi yakatwe