kunguni wa ulaya
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 4,131
- 6,111
Mkuu hii sio ramli chonganishi?
Stay tuned mwingine anaondoka kesho jioni[/QUOTE]
Stay tuned mwingine anaondoka kesho jioni[/QUOTE]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakazia babuKama Bashite hajaguswa hayo yote maigizo tu.
Mkuu katika hili la matamko yanayo kinzana na serikali vipi mtoto mpendwa atapona.Ninezipata sehemu
Kufuatia watu kumwangusha mkuu kwa sekta mbali mbali kuanzia
1.Ubalozi
2. Uwaziri
3. Ukatibu Mkuu
4. Ukuu wa mkoa
5. Ukuu wa wilaya,
Sekta hizo zitaguswa sana, watapukutika watu kibao, tunaanza na kanda ya hapo juu kuna wawili wanalazimika kukalishwa chini,
Hii imetokana na yafuatayo
Matamko yanayokinzana na serikali,
Matamko yanayodhihaki na kudhalilisha wengine
Utendaji mbovu unaokwamisha serikali ya viwanda,
Yaan Ole wako uwe umeshawashiwa indicator na msemaji fulani mwenye magazeti yake,
Stay tuned mwingine anaondoka kesho jioni
Mkuu wa mkoa wa Dar Paul Makonda afukuzwe kazi ili kuiokoa serikali hii ya chama cha mapinduzi huyu jamaa anaizamisha meli yetu kwa kutumia tindo na nyundo kama ilivyo ile nembo ya kwenye be ndera.. Ukuu wa mkoa
Wanajisulubu wenyewe kwa kukosa maarifa.Kumbuka yule ni mtoto mtukufu Baba hawezi kumgusa
Mpakahapo ushaji contradict tayari.Mimi sijaona mahali kanyanyasa Mtu, zaidi tu ya lile tukio la kumwambia yule Mama "huwezi kunijibu mimi hivyo"
Siku hizikuteuliwa balozi wa Tanzania nikuchafuliwa CV yako!Balozi mtarajiwa tafadhali usichafue CV yake!
Hahaha,Nakazia babu
Wakitaka twende sawa waanze na huyo kwanzaHahaha,
Umeona eeh?
Wasituletee mazingaombwe ya shule ya msingi, karata tatu,cheusi, chekundu,uki blink umeliwa.
Siku nyingine tumia lugha za JF, usitaje jina labda ungesema mshukiwa au ki .
Mwegelo mkuu wa mkoa wa Dar.
Duh aiseeHiki kijamaa kilicholetwa Iringa wakitoe mapema
Kwa hiyoDuh aisee
Kama Bashite hajaguswa hayo yote maigizo tu.
Ni special case inayothibitisha mfumo mzima uko arbitrary.Bashite ni special case. Huyo haguswi