hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
tupo kwenye right trackTembeeni vifua mbele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tupo kwenye right trackTembeeni vifua mbele
Kumbuka yule ni mtoto mtukufu Baba hawezi kumgusaKama Bashite hajaguswa hayo yote maigizo tu.
Wameteuliwa miezi michache tu iliyopita unataka apangue tenaMa RC na ma DC wameota sana mapembe inabidi yakatwe
Leo umemgeuka mkuuMkuu nauona mwisho wake
Ah wapi! Siyo awamu hii.Mkuu nauona mwisho wake
Mimi sijaona mahali kanyanyasa Mtu, zaidi tu ya lile tukio la kumwambia yule Mama "huwezi kunijibu mimi hivyo"Huyu alipigwa makonzi sana alivyokuwa mdogo.
Kakua, kapata cheo, anaona kutesa watu ni haki yake sasa, kutesa kwa zamu, na hii ni zamu yake.
Hili halitatokea hata siku moja kwa mwana mpenzi...Mkuu nauona mwisho wake
Inawezekana huoni kwa sababu huna macho.Mimi sijaona mahali kanyanyasa Mtu, zaidi tu ya lile tukio la kumwambia yule Mama "huwezi kunijibu mimi hivyo"
Sio mengi kihivyo.Inawezekana huoni kwa sababu huna macho.
Rais anafukuza watu bila due process.
Rais kasema atawapiga mpaka shangazi za wapinzani wake.
Rais kaiba mpaka hela za rambirambi za watu.
Kama hujaona hayo ni mahaba yamekupofusha macho.
Rais hatakiwi kuwa na rekodi ya kunyanyasa hata moja.Sio mengi kihivyo.
TB Joshua alisema hili balaa linaweza lisifike 2025Hakuna anayemwangusha ni yeye mwenyewe kwa kiburi na jeuri yake na kutoamini hata wasaidizi wake. Tunahitaji kufunga na kuomba Mungu atuondolee balaa hili
Pogba atafanya yote lakini sio kumtupa mwanae kipenzi, wakati mwingine nahisi kama walilishana yamini, yalikuwepo mazingira mengi sana huko nyuma ya kumchukulia hatua na hakufanya hivyo why now? Yes the prince is an untouchable man.Bashite ni untouchable, siamini kama anayofanya bashite hayana baraka za mzee. Nshu ya kuvamia Clouds ilitosha kumuondoa kazin. Jambo moja ambalo mzee hafahamu au halipi uzito, in political arena you have to sacrifice anyone to save your credibility. Haikuwa rahisi kwa JK kukubali Lowassa akae pembeni 2008.
Kuondoa watu sidhani kama kutasaidia tatizo ni kichaa chake, kipone kwanza hapo ndipo kutakuwa na tija kwenye uongozi wake!Ninezipata sehemu
Kufuatia watu kumwangusha mkuu kwa sekta mbali mbali kuanzia
1.Ubalozi
2. Uwaziri
3. Ukatibu Mkuu
4. Ukuu wa mkoa
5. Ukuu wa wilaya,
Sekta hizo zitaguswa sana, watapukutika watu kibao, tunaanza na kanda ya hapo juu kuna wawili wanalazimika kukalishwa chini,
Hii imetokana na yafuatayo
Matamko yanayokinzana na serikali,
Matamko yanayodhihaki na kudhalilisha wengine
Utendaji mbovu unaokwamisha serikali ya viwanda,
Yaan Ole wako uwe umeshawashiwa indicator na msemaji fulani mwenye magazeti yake,
Stay tuned mwingine anaondoka kesho jioni
Tembeeni vifua mbele