Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waondoke tu,kuna sabotage sana.Ninezipata sehemu
Kufuatia watu kumwangusha mkuu kwa sekta mbali mbali kuanzia
1. Ubalozi
2. Uwaziri
3. Ukatibu Mkuu
4. Ukuu wa mkoa
5. Ukuu wa wilaya,
Sekta hizo zitaguswa sana, watapukutika watu kibao, tunaanza na kanda ya hapo juu kuna wawili wanalazimika kukalishwa chini,
Hii imetokana na yafuatayo
Matamko yanayokinzana na serikali,
Matamko yanayodhihaki na kudhalilisha wengine
Utendaji mbovu unaokwamisha serikali ya viwanda,
Yaan Ole wako uwe umeshawashiwa indicator na msemaji fulani mwenye magazeti yake,
Stay tuned mwingine anaondoka kesho jioni
UPDATE
Kaimu Mkurugenzi Mkuu COASCO atumbuliwa rasmi. - JamiiForums
UPDATE
Rais Magufuli afanya mabadiliko Baraza la Mawaziri; Mwijage nje, Waitara ndani - JamiiForums
Waziri mwijage nje
Charles Tizeba nje
Mkuu ni habari zilizokuwapoNaona ulibet vyema mkuu!
Hasa ya naniMa RC na ma DC wameota sana mapembe inabidi yakatwe
Nadhan ww ni mpiga chapa ukipiga jana leo ukasubiri urushwe tuu...well doneNinezipata sehemu
Kufuatia watu kumwangusha mkuu kwa sekta mbali mbali kuanzia
1. Ubalozi
2. Uwaziri
3. Ukatibu Mkuu
4. Ukuu wa mkoa
5. Ukuu wa wilaya,
Sekta hizo zitaguswa sana, watapukutika watu kibao, tunaanza na kanda ya hapo juu kuna wawili wanalazimika kukalishwa chini,
Hii imetokana na yafuatayo
Matamko yanayokinzana na serikali,
Matamko yanayodhihaki na kudhalilisha wengine
Utendaji mbovu unaokwamisha serikali ya viwanda,
Yaan Ole wako uwe umeshawashiwa indicator na msemaji fulani mwenye magazeti yake,
Stay tuned mwingine anaondoka kesho jioni
UPDATE
Kaimu Mkurugenzi Mkuu COASCO atumbuliwa rasmi. - JamiiForums
UPDATE
Rais Magufuli afanya mabadiliko Baraza la Mawaziri; Mwijage nje, Waitara ndani - JamiiForums
Waziri mwijage nje
Charles Tizeba nje
SijaelewaaNadhan ww ni mpiga chapa ukipiga jana leo ukasubiri urushwe tuu...well done
Umeongezea hiyo quote ya Ben Saanane hata sijui ina uhusiano gani na hii habari?Ninezipata sehemu
Kufuatia watu kumwangusha mkuu kwa sekta mbali mbali kuanzia
1. Ubalozi
2. Uwaziri
3. Ukatibu Mkuu
4. Ukuu wa mkoa
5. Ukuu wa wilaya,
Sekta hizo zitaguswa sana, watapukutika watu kibao, tunaanza na kanda ya hapo juu kuna wawili wanalazimika kukalishwa chini,
Hii imetokana na yafuatayo
Matamko yanayokinzana na serikali,
Matamko yanayodhihaki na kudhalilisha wengine
Utendaji mbovu unaokwamisha serikali ya viwanda,
Yaan Ole wako uwe umeshawashiwa indicator na msemaji fulani mwenye magazeti yake,
Stay tuned mwingine anaondoka kesho jioni
UPDATE
Kaimu Mkurugenzi Mkuu COASCO atumbuliwa rasmi. - JamiiForums
UPDATE
Rais Magufuli afanya mabadiliko Baraza la Mawaziri; Mwijage nje, Waitara ndani - JamiiForums
Waziri mwijage nje
Charles Tizeba nje
Anamaanisha wewe ni mpiga chapa wa pale magogoni.Sijaelewaa
Nina maana yangu kuiweka hapo mkuuUmeongezea hiyo quote ya Ben Saanane hata sijui ina uhusiano gani na hii habari?
Halafu ujuwe ni misimamo ya wapambe kama kina Bashite, ambao labda hata walikuwa hawamfahamu BenSaanane vyema na kuwa ni kijana mwenye akili kubwa.
Hiyo quote wangeiona kabla hawamteka labda na kumdhuru, unadhani wange ghairisha kumteka endapo wangefahamu kuwa ni mzalendo na angependelea Taifa lipate maendeleo?
Maana njema?Nina maana yangu kuiweka hapo mkuu
Haya yanatusaidia nini kama nchi.Ateue yeye tushangilie sisi.Atengue yeye tushangile sisi....Swali ni kwanini aliwateua na nikwanini amewatengua.Angekuwa ametoa ajira kwa wahitimu wote wa ualimu bila shaka watanzania wote wangeshangilia.Ninezipata sehemu
Kufuatia watu kumwangusha mkuu kwa sekta mbali mbali kuanzia
1. Ubalozi
2. Uwaziri
3. Ukatibu Mkuu
4. Ukuu wa mkoa
5. Ukuu wa wilaya,
Sekta hizo zitaguswa sana, watapukutika watu kibao, tunaanza na kanda ya hapo juu kuna wawili wanalazimika kukalishwa chini,
Hii imetokana na yafuatayo
Matamko yanayokinzana na serikali,
Matamko yanayodhihaki na kudhalilisha wengine
Utendaji mbovu unaokwamisha serikali ya viwanda,
Yaan Ole wako uwe umeshawashiwa indicator na msemaji fulani mwenye magazeti yake,
Stay tuned mwingine anaondoka kesho jioni
UPDATE
Kaimu Mkurugenzi Mkuu COASCO atumbuliwa rasmi. - JamiiForums
UPDATE
Rais Magufuli afanya mabadiliko Baraza la Mawaziri; Mwijage nje, Waitara ndani - JamiiForums
Waziri mwijage nje
Charles Tizeba nje
Hasa ya nani
Wa iringaWapo wengi mkuu. Wana mihemko sana
Unakosea wakulaumiwa ni wanaomletea majina ateue au huwajui wazee wa vetting?Tatizo linaweza likawa kwa mteuaji. Kushindwa kuteua watu sahihi huku unajigamba unatumia muda na umakini kwenye hilo zoezi napo ni uzembe.
Isipokuwa?Ma RC na ma DC wameota sana mapembe inabidi yakatwe