Tetesi: Safisha safisha yaanza serikalini na idara zake

Tetesi: Safisha safisha yaanza serikalini na idara zake

Ninezipata sehemu
Kufuatia watu kumwangusha mkuu kwa sekta mbali mbali kuanzia

1. Ubalozi
2. Uwaziri
3. Ukatibu Mkuu
4. Ukuu wa mkoa
5. Ukuu wa wilaya,

Sekta hizo zitaguswa sana, watapukutika watu kibao, tunaanza na kanda ya hapo juu kuna wawili wanalazimika kukalishwa chini,

Hii imetokana na yafuatayo
Matamko yanayokinzana na serikali,
Matamko yanayodhihaki na kudhalilisha wengine
Utendaji mbovu unaokwamisha serikali ya viwanda,
Yaan Ole wako uwe umeshawashiwa indicator na msemaji fulani mwenye magazeti yake,

Stay tuned mwingine anaondoka kesho jioni




UPDATE

Kaimu Mkurugenzi Mkuu COASCO atumbuliwa rasmi. - JamiiForums

UPDATE
Rais Magufuli afanya mabadiliko Baraza la Mawaziri; Mwijage nje, Waitara ndani - JamiiForums

Waziri mwijage nje
Charles Tizeba nje
Waondoke tu,kuna sabotage sana.
 
Ninezipata sehemu
Kufuatia watu kumwangusha mkuu kwa sekta mbali mbali kuanzia

1. Ubalozi
2. Uwaziri
3. Ukatibu Mkuu
4. Ukuu wa mkoa
5. Ukuu wa wilaya,

Sekta hizo zitaguswa sana, watapukutika watu kibao, tunaanza na kanda ya hapo juu kuna wawili wanalazimika kukalishwa chini,

Hii imetokana na yafuatayo
Matamko yanayokinzana na serikali,
Matamko yanayodhihaki na kudhalilisha wengine
Utendaji mbovu unaokwamisha serikali ya viwanda,
Yaan Ole wako uwe umeshawashiwa indicator na msemaji fulani mwenye magazeti yake,

Stay tuned mwingine anaondoka kesho jioni




UPDATE

Kaimu Mkurugenzi Mkuu COASCO atumbuliwa rasmi. - JamiiForums

UPDATE
Rais Magufuli afanya mabadiliko Baraza la Mawaziri; Mwijage nje, Waitara ndani - JamiiForums

Waziri mwijage nje
Charles Tizeba nje
Nadhan ww ni mpiga chapa ukipiga jana leo ukasubiri urushwe tuu...well done
 
Ninezipata sehemu
Kufuatia watu kumwangusha mkuu kwa sekta mbali mbali kuanzia

1. Ubalozi
2. Uwaziri
3. Ukatibu Mkuu
4. Ukuu wa mkoa
5. Ukuu wa wilaya,

Sekta hizo zitaguswa sana, watapukutika watu kibao, tunaanza na kanda ya hapo juu kuna wawili wanalazimika kukalishwa chini,

Hii imetokana na yafuatayo
Matamko yanayokinzana na serikali,
Matamko yanayodhihaki na kudhalilisha wengine
Utendaji mbovu unaokwamisha serikali ya viwanda,
Yaan Ole wako uwe umeshawashiwa indicator na msemaji fulani mwenye magazeti yake,

Stay tuned mwingine anaondoka kesho jioni




UPDATE

Kaimu Mkurugenzi Mkuu COASCO atumbuliwa rasmi. - JamiiForums

UPDATE
Rais Magufuli afanya mabadiliko Baraza la Mawaziri; Mwijage nje, Waitara ndani - JamiiForums

Waziri mwijage nje
Charles Tizeba nje
Umeongezea hiyo quote ya Ben Saanane hata sijui ina uhusiano gani na hii habari?

Halafu ujuwe ni misimamo ya wapambe kama kina Bashite, ambao labda hata walikuwa hawamfahamu Ben Saanane vyema na kuwa ni kijana mwenye akili kubwa.

Hiyo quote wangeiona kabla hawajamteka labda na kumdhuru, unadhani wangeweza ghairisha kumteka endapo wangefahamu kuwa ni mzalendo na angependelea Taifa lipate maendeleo?
 
Umeongezea hiyo quote ya Ben Saanane hata sijui ina uhusiano gani na hii habari?

Halafu ujuwe ni misimamo ya wapambe kama kina Bashite, ambao labda hata walikuwa hawamfahamu BenSaanane vyema na kuwa ni kijana mwenye akili kubwa.

Hiyo quote wangeiona kabla hawamteka labda na kumdhuru, unadhani wange ghairisha kumteka endapo wangefahamu kuwa ni mzalendo na angependelea Taifa lipate maendeleo?
Nina maana yangu kuiweka hapo mkuu
 
Ninezipata sehemu
Kufuatia watu kumwangusha mkuu kwa sekta mbali mbali kuanzia

1. Ubalozi
2. Uwaziri
3. Ukatibu Mkuu
4. Ukuu wa mkoa
5. Ukuu wa wilaya,

Sekta hizo zitaguswa sana, watapukutika watu kibao, tunaanza na kanda ya hapo juu kuna wawili wanalazimika kukalishwa chini,

Hii imetokana na yafuatayo
Matamko yanayokinzana na serikali,
Matamko yanayodhihaki na kudhalilisha wengine
Utendaji mbovu unaokwamisha serikali ya viwanda,
Yaan Ole wako uwe umeshawashiwa indicator na msemaji fulani mwenye magazeti yake,

Stay tuned mwingine anaondoka kesho jioni




UPDATE

Kaimu Mkurugenzi Mkuu COASCO atumbuliwa rasmi. - JamiiForums

UPDATE
Rais Magufuli afanya mabadiliko Baraza la Mawaziri; Mwijage nje, Waitara ndani - JamiiForums

Waziri mwijage nje
Charles Tizeba nje
Haya yanatusaidia nini kama nchi.Ateue yeye tushangilie sisi.Atengue yeye tushangile sisi....Swali ni kwanini aliwateua na nikwanini amewatengua.Angekuwa ametoa ajira kwa wahitimu wote wa ualimu bila shaka watanzania wote wangeshangilia.
 
Tatizo linaweza likawa kwa mteuaji. Kushindwa kuteua watu sahihi huku unajigamba unatumia muda na umakini kwenye hilo zoezi napo ni uzembe.
Unakosea wakulaumiwa ni wanaomletea majina ateue au huwajui wazee wa vetting?
 
Back
Top Bottom