Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Neema hiii kwa sisi tusio na ajira [emoji13][emoji13][emoji13].
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu alipigwa makonzi sana alivyokuwa mdogo.Naona uongozi wake yeye kaamua uwe wa kuteua na kutengua.
Tuishachoka hiyo style aje na mpya
Heheheh
Mwegelo mkuu wa mkoa wa Dar.
Akimtoa sasa hivi itaonekana mzee kanywea kwa mabeberu..Bashite nunua mirinda kwa raha zako you are untouchable man 👨
Sadist.Huyu alipigwa makonzi sana alivyokuwa mdogo.
Kakua, kapata cheo, anaona kutesa watu ni haki yake sasa, kutesa kwa zamu, na hii ni zamu yake.
Nina clip ya sky news ninashindwa kuipandisha mabeberu wamemchana governor of Dar Es SalaamAkimtoa sasa hivi itaonekana mzee kanywea kwa mabeberu..
Huyu alipigwa makonzi sana alivyokuwa mdogo.
Kakua, kapata cheo, anaona kutesa watu ni haki yake sasa, kutesa kwa zamu, na hii ni zamu yake.
Angalia angani!!1. Flofesa Mwongo v/s Paulina Kondakta
2. Gaffo Warizi wa Tamisemitrella v/s Aliyah Hapiah.
Tuwaongezee mikiaMa RC na ma DC wameota sana mapembe inabidi yakatwe
We jitu linazuia mpaka hela za rambirambi zisifike kwa walengwa!Waliomtesa wengine tabu anatupa Watanzania!!
Miaka inasogea hakuna cha maana alichofanya zaidi ya kumalizia miradi iliyoachwa na mwenzie!!
Hata hyo mikia ikatwe tuTuwaongezee mikia
Nawe umeyajuaNiliiandika kuwa kuna blacklist ila mada yangu mods waliifutam
Kifo cha wengi harusi eeh?Neema hiii kwa sisi tusio na ajira [emoji13][emoji13][emoji13].