nkuwi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2013
- 4,806
- 5,347
Hivi mirinda ni tamu Sana eeeee???Bashite nunua mirinda kwa raha zako, you are untouchable man [emoji67]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mirinda ni tamu Sana eeeee???Bashite nunua mirinda kwa raha zako, you are untouchable man [emoji67]
Utaondoa wangapi?sure, kuna kitu hakiko sawa awaondoe na hapo hazina pia awatazame wale wa mifuko ya hifadhi ya jamii pote kuna tatizo bila kusahau BRELA na TIC wote wanasuasua sana.
Huwezi kata miguu ya meza, meza itaangukaKama Bashite hajaguswa hayo yote maigizo tu.
HahahahahahahaHuyu alipigwa makonzi sana alivyokuwa mdogo.
Kakua, kapata cheo, anaona kutesa watu ni haki yake sasa, kutesa kwa zamu, na hii ni zamu yake.
Hivi mushumbusi na slaa ni mabalozi wa nchi gani??Angalia angani!!
Novemba hii ilikuwa tupokee Ndege 3 kubwa, Mbili aina ya Bombardier CS300 ambazo zimebadirishwa sasa Zinafahamika Kama Airbus kutoka Canada na Moja Boeing 787-8 Dreamliner kutoka Marekani. Sijajua kwanini ndege haijaja badala yake kaja aliyekuwa Balozi wa Tanzania Huko Kanada anaitwa Bw. Kidata.
Endeleeni kuangalia angani.
Mmmm
Mtazamo wako tu.
July majuzi kabadili madc na marc wawaza ateue Tena??
Sweden na Jana nilikuwa nayeHivi mushumbusi na slaa ni mabalozi wa nchi gani??
Yaaani anakuwa kama mkurya, akiwa kijijini ni mbabe balaaa akija jijini anauza mayai ya kuchemshaaa!Kila mmoja na mbabe wake.
JPM anaweza kumchachafya yeyote lakini mbele ya Bashite ni mnyonge kupindukia.
Kuna saikolojia hiyo na ugonjwa wa "Sadistic Personality Disorder"Hahahahahahaha
politics is about lifeKumbe mzee wa masafa hata kwenye siasa upo?
politics is about lifeKumbe mzee wa masafa hata kwenye siasa upo?
Okey, ulikuwa naye Nani?? Mushumbusi au Mzee Baba mwenyewe padri???Sweden na Jana nilikuwa naye
Mkuu nauona mwisho wake
Vanilla shosti na chocolate hata wafanyaje hawatumbuliwi...
Kwa sasa hata Bashite akiondolewa, itakuwa ni "delayed reaction", Jiwe ataonekana kamtoa kwa pressure ya watu tu, si kwa kufuata kanuni yeye mwenyewe.
Bashite alitakiwa kuondolewa zamani sana, na issue ya makontena Dr. Mpango alicheza karata fresh sana, kama professional, kakipaka, halafu rais akawa anasuasua.
Tukaona kumbe huyu ukali wake wote huwa ana watu wake ananywea.
Pale Magu alionekana bonge la mzushi.
Kwa hiyo kwa sasa hivi hata Bashite akitolewa, itaonekana kwa shingo upande tu.
Yule Mama Anna Kilango Malecela katolewa ukuu wa mkoa kwa kusematu mkoa wake hauna wafanyakazi hewa,kitu ambacho mtu anaweza kuwa kaghafilika, sas huyu Bashite kadanganya mambo ya kodi, kavamia radio station, kafanya madudu kibao.
Anapeta tu!
Naona uongozi wake yeye kaamua uwe wa kuteua na kutengua.
Tuishachoka hiyo style aje na mpya
Mimi nilifikiri HAPA KAZI TU ilivyoingia kwa mbwembwe, baada ya miaka mitatu tusingekuwa bado tunahangaika na kuteu asubuhi na kutengua jioni!! What went wrong with HAPA KAZI TU (management na leadership vimeshindwa kutangamana?)sure, kuna kitu hakiko sawa awaondoe na hapo hazina pia awatazame wale wa mifuko ya hifadhi ya jamii pote kuna tatizo bila kusahau BRELA na TIC wote wanasuasua sana.