Tetesi: Safisha safisha yaanza serikalini na idara zake

tujalibu kuangalia hili lakua rais kuweka mawazari kwenye sekta kwa muda nakutaka kuya fanikisha yale atakayo kwa muda mfupi pasi ya kuwa wamejijengea misingi na miongozo mizuti ili kufikia malengo j sasa je ni madhara kiasi gani yatatokea juu ya ya huu uteuzi .....?
 
Inafurahisha maana ma home boy ndio wanao muangusha jamaa.
Huku Chizeba, juku Mwijage , huku yule binamu aliye kuwa mambo ya ndani..... Nk.
Kisa ni ukoo wote upewe madaraka na kiwasubirisha walio endelea... Funny
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…