Sahihi kusema Arusha ndio Jiji bora Tanzania?

Sahihi kusema Arusha ndio Jiji bora Tanzania?

Cha kujivunia ni climate peke yake otherwise ndio Jiji la watu washamba na wasiojielewa
Mtu akinunua IST na simu kubwa anajiona yeye ni bonge la tajiri
Anafunga Barabara mpaka amalize kuongea na simu yake nyie mko hapo nyuma mnapiga honi tu
Haha utakuwa mshamaba wewe, watu wote wana Ist?
1. Arusha ndio matajiri wote unaowajua Tz wamewekeza kuanzia madini hadi utalii.
2. Arusha ni mkoa ambao wazawa wake wana nyumba bora na za kisasa...zingatia wazawa.
3. Arusha ndipo mataifa mengi yanatembelea na kuishi.
Kimsingi Arusha ni mji wa kifahari kuliko mji wowote Tz.
 
Haha utakuwa mshamaba wewe, watu wote wana Ist?
1. Arusha ndio matajiri wote unaowajua Tz wamewekeza kuanzia madini hadi utalii.
2. Arusha ni mkoa ambao wazawa wake wana nyumba bora na za kisasa...zingatia wazawa.
3. Arusha ndipo mataifa mengi yanatembelea na kuishi.
Kimsingi Arusha ni mji wa kifahari kuliko mji wowote Tz.

Unavyojitapa sasa 🤣🤣🤣🤣🤣,,,ukitoka hapa unaanza kumponda mama Samia oh hali ya maisha ngumu, vitu vimepanda bei, ajira hakuna mara cjui nini. acha ku2ongopea bwana, wadanganye huko huko kijijini kwenu arusha🤣🤣🤣
 
Haha utakuwa mshamaba wewe, watu wote wana Ist?
1. Arusha ndio matajiri wote unaowajua Tz wamewekeza kuanzia madini hadi utalii.
2. Arusha ni mkoa ambao wazawa wake wana nyumba bora na za kisasa...zingatia wazawa.
3. Arusha ndipo mataifa mengi yanatembelea na kuishi.
Kimsingi Arusha ni mji wa kifahari kuliko mji wowote Tz.
ndio maana nimeona hata nisiwajibu wengine nimegundua wengi hawaijui Arusha wanaiskia kwenye redio tu 🤣
 
Ni kweli ukisemacho... Ila kwa njia ya gari za morombo mpaka intel, lami inaishia boston car wash, icho kipande mpaka unapita mizani mpaka round bado ni vumbi tu, japo tayar kuna kibao cha ujenzi!
ile ni barabara ya tanroad babu ambayo inawekwa lami hadi dodoma kupitia simanjiro ndio maana umeona kile kipande kidogo hadi barabara ya east afrika wamekiacha
 
Ni miaka 10 tu imepita tangu mji huu maarufu kama Geneva of Africa utangazwe kuwa jiji.

Kutoka kuwa mji wa 9 kwa wingi wa watu hadi kuwa mji wa 3 kwa sensa ya mwaka 2012 na halmashauri ya jiji ya pili kwa wingi wa watu, lakini licha ya upya wake.

Lakini ndio jiji lenye hospitali nyingi za Private kwa uwiano wa watu kuliko mji wowote Tanzania.

Ndio wilaya inayoongoza kwa Ufaulu kwa matokeo ya shule za msingi na sekondari kwa miaka minne mfululizo.

Arusha pia ina hoteli 5 zenye hadhi ya kimataifa.

Arusha inahudumiwa na viwanja viwili vya ndege.

Arusha ndio mji wa pili kwa kuwa na largest foreign community nje ya Dar same as real estate licha ya kuwa na moderate population.

Bila kusahau leisure facilities, shopping centers, office za kimataifa na hali ya hewa ya kustaajabisha inayoufanya mji huu kupokea asilimia 80 ya wageni wote wanaotembelea nchi yetu.

Je, ni sahihi kusema Arusha ndio sehemu bora zaidi ya kuishi Tanzania.

View attachment 2038839

View attachment 2038840

View attachment 2038841

View attachment 2038842

View attachment 2038843
.

View attachment 2039251
Jibu ni ndio
 
Haha utakuwa mshamaba wewe, watu wote wana Ist?
1. Arusha ndio matajiri wote unaowajua Tz wamewekeza kuanzia madini hadi utalii.
2. Arusha ni mkoa ambao wazawa wake wana nyumba bora na za kisasa...zingatia wazawa.
3. Arusha ndipo mataifa mengi yanatembelea na kuishi.
Kimsingi Arusha ni mji wa kifahari kuliko mji wowote Tz.
Hebu shika adabu yako mkuu! Kwa hiyo Arusha iipiku Dar kwa ufahari au? Aaaaah be serious! Ni Dar ujue, sio Darful! DSM baba lao, yaani kwa hapo umepuyanga.
 
Mimi cwezi bishana na wewe, kujicfu c ndiyo kawaida yenu bwana so hutanielewa, so bakia na kiarusha chako ukalinganishe na mbeya na co dom inayokuwa kwa kasi.

Dar
Mwz
Me nilishaacha kubishana nao hao watakupotezea muda tu ukweli ni kuwa Arusha haina hadhi ya kuwa jiji ni siasa uchwala ziliingilia kati, nimekuja kuona watu wakaskazini huwa wana wivu na chuki dhidi ya Mwanza so relax mkuu.
 
ndio maana nimeona hata nisiwajibu wengine nimegundua wengi hawaijui Arusha wanaiskia kwenye redio tu 🤣

Manyara vipi mzee ipewe na yenyewe jiji? 🤣🤣 mnachekesha sana, eti ka moshi kanastahili kuwa jiji pia, huwa mnaongea mkiwa wapi lakini?


Bac arusha inaongoza Tanzania, umefurahi sasa ee, nickufanye ushindwe kulala.
 
ngoja nikusaidie
kwanza muundo wa Arusha dodoma au nairobi ni tofauti na mwanza
Arusha kuna barabara zaidi ya 6 za kutoka mjini wakati mwanza ni mbili tu kwa maana ya usagara na ile ya kisesa
hujasemea barabara ya Arusha hadi kia km 50 ni lami
kuna Nairobi road ni lami hadi namanga
kuna dodoma road ni lami hadi babati
kuna bypass km 42 zote ni lami kuna barabara ya chekereni hadi usa km 25 zote ni lami
sasa tukija kwa hapo Morombo unapopasemea ile barabara ipo chini ya tanroads ambayo inaenda simanjiro hadi dodoma na jiji halina mamlaka ya kuitengeneza
lakini bado hiyo barabara ya vumbi inaenda km 1.3 tu kabla hujafika barabara ya east africa ambayo nayo ni lami
haya kutoka hapo hapo Morombo kuna barabara ya kwenda dampo nayo ni lami kutoka dampo tena wamejenga kuonganisha na barabara ya east africa nayo tena ni lami
Mdazi unapuyanga sana kiongozi na unachoongea huna uhakika nacho.
 
Arusha pagumu sana asikwambie mtu, ukiweza kuishi Arusha hakuna mji utashindwa kuishi Tz.

Arusha, Moshi ni sehemu zinazokimbiza wageni hili lazima mgeni ukija ulijue, ni home town ila kwa mgeni ujipange sana.
 
wamepaboresha mno sasa hivi barabara nyingi ni lami tu
kuanzia mjini hadi ngusero
mjini hadi njiro atomic
chekereni hadi usa
barabara zote za levolosi ngarenaro na makao mapya sasa ni lami tu
karibu tena Arusha hakika utapapenda sana
Arusha hamna kitu hapo nmeishi miaka miwili tembea uone.
 
Back
Top Bottom