Kifupi kwenye wakristo wengi maendeleo huwa makubwa sana, mfano mwanza, mbeya, arusha, dar, hata iringa sasa hivi kumebadilika sana huwezi kufananisha na mtwara au tanga, pwani ni hovyo ingawa kuna viwanda😂😂🤣🤣🤣🤣 inagawa sina maana ya udini ila nimefanya research na ni ukweliKwahiyo kama wakazi wake wengi ni wakristo inasaidia nini!!! Udini unakusumbua kijana
Kifupi kwenye wakristo wengi maendeleo huwa makubwa sana, mfano mwanza, mbeya, arusha, dar, hata iringa sasa hivi kumebadilika sana huwezi kufananisha na mtwara au tanga, pwani ni hovyo ingawa kuna viwanda😂😂🤣🤣🤣🤣 inagawa sina maana ya udini ila nimefanya research na ni ukweli
Habari mbaya sana kwa Mwanza hizi 👇labda kwa miti ya vivuli sawa lakini jakuna cha ajabu
Uzuri haujifichi 👇Pengine labda sijatembea sana Arusha,lakini kote nilikopita hakuna maajabu sana na mitaa mingi barabara zake ni mbovu sana,najiandaa kwenda tena this May nataka nikazunguke sehemu nyingi kidogo.
Mimi ninafanya kazi hapa Arusha since 2009,na nyumbani kwangu ni Mwanza, msiwe mnawajaza watu ujinga mwingi usio na maana, hapa ni eneo la kawaida sana, na ukitaka kujua, nibuwe na kumbukumbu ya kipindi cha Corona, Arusha ilisimama ikawa kama Kijiji, Kwa sababu moja tu utalii, lakini ilikua ukienda eneo kama Mwanza maisha yanaendelea Kwa sababu ya Madini, uvuvi na kilimo, Mwanza ni mji unahudumia mikoa yote ya Kanda ya ziwa, kidogo Kagera ndiyo inachanganya kupata huduma kati ya Mwanza na Kampala, Kwa hivyo Kuna miji iko sawa sana tofauti na mnavyo jiaminisha, sensa ya miaka ya nyuma hapa Arusha ilikua na watu laki6 na Mwanza ilikua na watu Milion 1.2, population ni kigezo kikubwa Cha kiuchumi pia, acheni kujisifia kwenye hamnaNi miaka 10 tu imepita tangu mji huu maarufu kama Geneva of Africa utangazwe kuwa jiji.
Kutoka kuwa mji wa 9 kwa wingi wa watu hadi kuwa mji wa 3 kwa sensa ya mwaka 2012 na halmashauri ya jiji ya pili kwa wingi wa watu, licha ya upya wake.
Lakini ndio jiji lenye hospitali nyingi za Private kwa uwiano wa watu kuliko mji wowote Tanzania sambamba na international schools.
Ndio wilaya inayoongoza kwa Ufaulu kwa matokeo ya shule za msingi na sekondari kwa miaka minne mfululizo.
Arusha inaongoza kwa kuwa na vyuo vya kimataifa vingi mf. Esami, TMA, na Nelson Mandela
Arusha pia ina hoteli 5 zenye hadhi ya kimataifa.
Ujenzi wa satellite cities ambazo zimepimwa kwa asilimia 100 mf. Safari city na Bondeni city
Ujenzi wa mradi mkubwa wa maji unaotosheleza Arusha yote na maeneo ya jirani sambamba na ujenzi wa sewage system unaoufanya kuwa mji wa kwanza nchini kuunganishwa na sewage system mji mzima.
Usafiri wa haraka kutoka sehemu moja hadi nyingine.
Arusha inahudumiwa na viwanja viwili vya ndege.
Arusha ndio mji wa pili kwa kuwa na largest foreign community nje ya Dar same as real estate licha ya kuwa na moderate population.
Kuzungukwa na kambi nyingi za Jeshi mf. Makuyuni, Ngaramtoni, Moshono, Oljoro na Duluti
Ufikaji wa urahisi Arusha kutoka kwenye miji mikubwa ya jirani mf. Nairobi, Mombasa, Dar es salaam na mji wetu mkuu Dodoma
Pia ni katikati ya Barabara ya mwanzo kabisa kuunganisha miji mikuu miwili ya utawala wa waingereza barani Afrika yaani Cape town na Cairo na kuwa na alama yake pale Clock tower jijini Arusha.
Uwepo wake karibu na vivutio bora zaidi vya utalii duniani ikiwemo mt. kilimanjaro, serengeti na ngorongoro
Bila kusahau leisure & conference facilities, shopping centers, office za kimataifa na hali ya hewa ya kustaajabisha inayoufanya mji huu kupokea asilimia 80 ya wageni wote wanaotembelea nchi yetu.
Zote hizi zimeshawishi uwepo wa ofisi kuu za mashirika na taasisi kubwa za ndani na nje ya nchi kama vile EAC, Mahakama ya Afrika, Papu, Tanapa n.k
Je, ni sahihi kusema Arusha ndio sehemu bora zaidi ya kuishi Tanzania.
Update: Arusha has been named by the CNN as one of the 10 most trending destinations in the world 2022. (Trip Advisor)
View attachment 2038839
View attachment 2038840
View attachment 2038841
View attachment 2038842
View attachment 2038843
.
View attachment 2043041
View attachment 2043076
View attachment 2204653
Arusha A Cityyyyy🔥🔥🔥♨️♨️Mimi ninafanya kazi hapa Arusha since 2009,na nyumbani kwangu ni Mwanza, msiwe mnawajaza watu ujinga mwingi usio na maana, hapa ni eneo la kawaida sana, na ukitaka kujua, nibuwe na kumbukumbu ya kipindi cha Corona, Arusha ilisimama ikawa kama Kijiji, Kwa sababu moja tu utalii, lakini ilikua ukienda eneo kama Mwanza maisha yanaendelea Kwa sababu ya Madini, uvuvi na kilimo, Mwanza ni mji unahudumia mikoa yote ya Kanda ya ziwa, kidogo Kagera ndiyo inachanganya kupata huduma kati ya Mwanza na Kampala, Kwa hivyo Kuna miji iko sawa sana tofauti na mnavyo jiaminisha, sensa ya miaka ya nyuma hapa Arusha ilikua na watu laki6 na Mwanza ilikua na watu Milion 1.2, population ni kigezo kikubwa Cha kiuchumi pia, acheni kujisifia kwenye hamna
kaiba ramani ya Ryn bay hotel ya Mwanza hiyoArusha imerudi kwenye chati ajabu bro tangu mama achkue nchi ameshaenda Arusha mara tatu na ameonyesha userious sana kwenye utalii
juzi amezidua hoteli ya nyota 5 Arusha
sasahivi aicc pale ni mikutano kila kukicha
na sasahivi kuna michuano ya mabungo yote ya eac yanaendelea tena Arusha
juzi nilikua na wageni wangu zile hoteli zote nilizozipoint zimejaa na nyingine ziko booked hadi januari
kama unamtu yuko Arusha kwenye sekta yoyote nliyotaja muulize akupe reference
hii ndio hoteli aliyoizindua mama last month Arusha
View attachment 2039199
Utakua ni mtoto mtoto au ni mtu wa vijiiweni,wenye kusifia vya watu pasi kuvitafutaArusha A Cityyyyy[emoji91][emoji91][emoji91][emoji3533][emoji3533]
View attachment 2235030
View attachment 2235032
View attachment 2235033
View attachment 2235034
View attachment 2235036
View attachment 2235039
View attachment 2235040
Arusha ni level za US sio Tanzania 👇Utakua ni mtoto mtoto au ni mtu wa vijiiweni,wenye kusifia vya watu pasi kuvitafuta
unavyosema serikali imelazimisha kufanya mji wa Arusha kuwa wa kitalii unamaanisha nini??🙄🙄Mimi nimefika Arusha ila sioni maajabu. Zaidi ya serikali kulazimisha kuufanya mji wa utalii na makao makuu ya EAC hakuna kingine kipya.
Soon inapitwa hata na Dodoma.
Nielekezeni basi niende wapi ila nijue kweli Arusha ni hatari.
Mpaka hapo umekubaliana na ArushaNachelea kusema hapana, ila linaweza kuwa jiji la pili ikianza DSM.
Punguza chuki za wazi, hiyo arusha haina ata hadhi ya kuishindanisha na dodoma, arusha size yake ni kigoma na mtwara huko.Sasa MWANZA washamba mashambani huko sijui nani anawapaga guts za kujishindanisha na Arusha. Size yao ni Mbeya,Dom na Tanga.
Mtu average wa Arusha ana exposure ya dunia kuliko mtu yeyote wa Mwanza, mtu average wa Mwanza mpaka atoke Mwanza aende dar ama Arusha ndio anaanza kujanjaruka. Wenzio hawashangai wageni, hawashangai lugha, magari wala majengo. Mwanzo ni malimbukeni mall imekuja juzi tu basi wanadhani wao wamemaliza. Bwana ee tumewachoka washamba.Punguza chuki za wazi, hiyo arusha haina ata hadhi ya kuishindanisha na dodoma, arusha size yake ni kigoma na mtwara huko.
Mbona povu jingi unadhani mwanza kuna vijana wakujiuza kwa viajuza vya kizungu, mnatolewa marinda na wazungu mnajiona wajanja, au kuvaa nguo za mitumba ndio ujanja tueleze ujanja wenu upo wapi? Mna nini cha ajabu? Mnatafuta sifa kujilinganisha na jiji lililowazidi kwa kila kitu, leta facts povu ruksa.Mtu average wa Arusha ana exposure ya dunia kuliko mtu yeyote wa Mwanza, mtu average wa Mwanza mpaka atoke Mwanza aende dar ama Arusha ndio anaanza kujanjaruka. Wenzio hawashangai wageni, hawashangai lugha, magari wala majengo. Mwanzo ni malimbukeni mall imekuja juzi tu basi wanadhani wao wamemaliza. Bwana ee tumewachoka washamba.
Ni miaka 10 tu imepita tangu mji huu maarufu kama Geneva of Africa utangazwe kuwa jiji.
Kutoka kuwa mji wa 9 kwa wingi wa watu hadi kuwa mji wa 3 kwa sensa ya mwaka 2012 na halmashauri ya jiji ya pili kwa wingi wa watu, licha ya upya wake.
Lakini ndio jiji lenye hospitali nyingi za Private kwa uwiano wa watu kuliko mji wowote Tanzania sambamba na international schools.
Ndio wilaya inayoongoza kwa Ufaulu kwa matokeo ya shule za msingi na sekondari kwa miaka minne mfululizo.
Arusha inaongoza kwa kuwa na vyuo vya kimataifa vingi mf. Esami, TMA, na Nelson Mandela
Arusha pia ina hoteli 5 zenye hadhi ya kimataifa.
Ujenzi wa satellite cities ambazo zimepimwa kwa asilimia 100 mf. Safari city na Bondeni city
Ujenzi wa mradi mkubwa wa maji unaotosheleza Arusha yote na maeneo ya jirani sambamba na ujenzi wa sewage system unaoufanya kuwa mji wa kwanza nchini kuunganishwa na sewage system mji mzima.
Usafiri wa haraka kutoka sehemu moja hadi nyingine.
Arusha inahudumiwa na viwanja viwili vya ndege.
Arusha ndio mji wa pili kwa kuwa na largest foreign community nje ya Dar same as real estate licha ya kuwa na moderate population.
Kuzungukwa na kambi nyingi za Jeshi mf. Makuyuni, Ngaramtoni, Moshono, Oljoro na Duluti
Ufikaji wa urahisi Arusha kutoka kwenye miji mikubwa ya jirani mf. Nairobi, Mombasa, Dar es salaam na mji wetu mkuu Dodoma
Pia ni katikati ya Barabara ya mwanzo kabisa kuunganisha miji mikuu miwili ya utawala wa waingereza barani Afrika yaani Cape town na Cairo na kuwa na alama yake pale Clock tower jijini Arusha.
Uwepo wake karibu na vivutio bora zaidi vya utalii duniani ikiwemo mt. kilimanjaro, serengeti na ngorongoro
Bila kusahau leisure & conference facilities, shopping centers, office za kimataifa na hali ya hewa ya kustaajabisha inayoufanya mji huu kupokea asilimia 80 ya wageni wote wanaotembelea nchi yetu.
Zote hizi zimeshawishi uwepo wa ofisi kuu za mashirika na taasisi kubwa za ndani na nje ya nchi kama vile EAC, Mahakama ya Afrika, Papu, Tanapa n.k
Je, ni sahihi kusema Arusha ndio sehemu bora zaidi ya kuishi Tanzania.
Update: Arusha has been named by the CNN as one of the 10 most trending destinations in the world 2022. (Trip Advisor)
View attachment 2038839
View attachment 2038840
View attachment 2038841
View attachment 2038842
View attachment 2038843
.
View attachment 2043041
View attachment 2043076
View attachment 2204653
Mu-Arusha wa njombe na huku upo unapambana na Kanda ya ziwa?? Unahangaika sana aiseeSasa MWANZA washamba mashambani huko sijui nani anawapaga guts za kujishindanisha na Arusha. Size yao ni Mbeya,Dom na Tanga.