Sahihi ya Hayati Magufuli yageuka kivutio cha utalii kwenye Mahandaki ya SGR

Mtu akianza kuonesha dalili za kuwa mwehu na mkimwambia atachukia.Rest in hell! 😝😝😝😝😝
Hell hamna ku-rest ni Ku-suffer tuu. Mtoamada makumbusho ya Hitler ujerumani watu wametembelea sana 'kuonesha mapendo yao sio'
 
Unakurupuka sana mkuu.

Hiyo saini iko wapi? Hamna hata picha?

Magufuli alitembelea mahandaki tarehe 21/06/2021 akitokea wapi, kuzimu?? Au unamaana mwanae Joseph Magufuli kaenda kutembelea SGR?
Nimeona Kama kaandika 2020 pale
 
Uzi mzur Ila kapicha bas mkuu,nass ambao hatujawahi kufika hapa rufiji dam tuone !
 
Alikosea mara ya kwanza sasa ame-edit kusahihisha lakini alikuwa ameandika 2021
Na wewe kwa Nini unasoma kabla haja edit, nyie ndo mn
akula mboga ikiwa bado jikoni halafu mnalalamika, 'mboga imepikwa vibaya, haijaiva'
 

Endeleeni kujifariji tar 17 March 2021 Ukurasa ulifugwa sasa IMEBAKI STORY aka IMEISHA HIYOOO!!!
 
Maelfu ya watu hufika kila siku kwenye mahandaki hayo na kupiga pich
🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Vipi mapato ya huo utalii kwa mwezi ni bilioni ngapi kwa mwezi maana mbuga yote ya Manyara huku hatupati hata watalii 50 kila siku?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…