TANZIA Said Akachube (Akachube Road) ambaye ni muuza magari maarufu DSM afariki dunia

TANZIA Said Akachube (Akachube Road) ambaye ni muuza magari maarufu DSM afariki dunia

sijawahi kuona umuhimu wa kuvaa hizo barakoa zaidi ya kutesana tu na kushindwa kupumua

Ni sawa, hapo unaongea kiutuuzima. Mwenye sababu za msingi kutokutimia ni vyema kutofanya hivyo , lakini pia tuendelee na tahadhali nyingine tunazopewa. Shina la mgomba ambalo leo waliona halina kazi baharini laweza kukuvusha kwenye kilindi cha maji marefu usiamini. Tusipuuze bila sababu za msingi tutumie kila fikra na maarifa tuliyopewa na si kukata tamaa.
 
Nenda kwenye msiba mkuu utapata historia fupi ya marehemu
Huyu jamaa pamoja na shule ilikuwa hakuna kabisa alikuwa anaakili sana ya kutumia kauli kufanya biashara, pia alikuwa mtu wa watu mjitoaji sana kwa matatizo ya watu.

Nakumbuka miaka ya nyuma walienda Dubai na wadogo zake wakanunua franchieser ya Mgahawa mmoja unaitwa The Gold Folk waafungua pale millenium tower nafikiri lakini haukufanya vuzuri wakauhamishia pale njia ya kuingilia stand ya kuingilia kituo cha mabasi cha kijionyama nafikiri jiji wakaivunja maana ilikuwa barabarani.

Sina hakika hii gold folk ya mlimani city ni yakwake au la.

Picha ya Marehemu
FB_IMG_1612455017136.jpg
 
Huyu jamaa pamoja na shule ilikuwa hakuna kabisa alikuwa anaakili sana ya kutumia kauli kufanya biashara, pia alikuwa mtu wa watu mjitoaji sana kwa matatizo ya watu.

Nakumbuka miaka ya nyuma walienda Dubai na wadogo zake wakanunua franchieser ya Mgahawa mmoja unaitwa The Gold Folk waafungua pale millenium tower nafikiri lakini haukufanya vuzuri wakauhamishia pale njia ya kuingilia stand ya kuingilia kituo cha mabasi cha kijionyama nafikiri jiji wakaivunja maana ilikuwa barabarani.

Sina hakika hii gold folk ya mlimani city ni yakwake au la.

Picha ya MarehemuView attachment 1694419
😭 sikuwahi muona au sikia akigombana na mtu!
Ili ufanikiwe haitakiwi udharau mtu yoyote kila mtu mpe uzito sawa! Alifanikiwa sababu alikuwa ana heshimu ata vijana wadogo ambao hawajui ata kesho wana kula nini!!
 
Itakuwa stress na shock tu mzee kapitia mengi
 
Hawa ni baadhi ya watu waliyowahi kuugua Covid-19 na wakapona.

Anna Mghwila.
Mwana FA.
Salam SK.(meneja wa Diamond?)
Mtoto wa Magufuli.
Mtoto wa Mbowe.


Na sasa Maalim seifu amejitangaza kuumwa Covid-19, tunaimani atapona pia.
 
Hiyo kauli itatuharibia uchumi kwa sasa tuko kwenye right track hauitaji Rais aje akwambie majukumu yako ya kuchukua tahadhari we kaa kizembe ikukule kichwa ukisubili kauli ya Rais au nasema uongo ndugu zanguuuuu mitano tena

😀😀
 
Hawa ni baadhi ya watu waliyowahi kuugua Covid-19 na wakapona.

Anna Mghwila.
Mwana FA.
Salam SK.(meneja wa Diamond?)
Mtoto wa Magufuli.
Mtoto wa Mbowe.


Na sasa Maalim seifu amejitangaza kuumwa Covid-19, tunaimani atapona pia.

Sawa Mkuu.
 
Muuza magari maarufu jijini Dar es Salaam, Akachube afariki dunia usiku wa kuamkia leo.

Ndugu wa karibu wamesema amefariki kwa ugonjwa wa Nimonia.

Umaarufu wake ulipelekea mpaka kupewa barabara ya Akachube iliyopo Kijitonyama.

Mungu ailaze pema peponi roho yake.

Wekeni picha!
 
Hahahaaaa........ Wengi humu ni vijana wadogo na wengine mjini wamekuja kimasomo!

Dar ina wenyewe miongoni mwao ndio hao.

IMG_20210312_155255.jpg

Aah! Bado hawajaelewa!

Mwingine ni huyo hapo aliyekaa!

Jini MAIMUNA SUBIANI 😂😂

Yaani watajuta kuichokoza SIMBA!

SIMBA ni zaidi ya timu! No excuses!
 
Dalili za nimonia tafadhali
1.Kukoa kikohozi kikavu
2.Kutopata harufu ya chakula
3.Kukosa hamu ya kula
4.Kuwa na homa
5.Kifua kubana
6.Kushindwa kupumua!!!
N.B:
1.Wengi wanapona,bila kujua kuwa walipata kitu hii.
2.Ukiwa na wasiwasi nenda kituo cha kutoa huduma ya utabibu kilicho karibu nawe.
3.Lakini,usisahau kutumia mimea inayoongeza kinga ya mwili kila siku!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom