Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Huwez kujua Kila mtuMbona unaandika Kama vile wote humu tunamjua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwez kujua Kila mtuMbona unaandika Kama vile wote humu tunamjua?
Kauli ipi?Unajua inahitaji kauli moja tu ya Mh.Rais ,kuepusha watu na vifo hv
Wapi imezuilika?Walipoombwa kuzuia kabla haijaingia hawakukubali na ilipoiingia hawataki hata itamkwe !! Daahh
So?Nchi masikini ikitafuta herd immunity kwa pandemic.... Nchi tajiri zimeshindwa...
Approach ipi imefanikisha katika nchi ipi?Suala siyo kupambana, suala ni approach kuelekea kuishi nayo. Read between the lines.
Kauli ipi thabiti ya kiongozi inahitajika?Unaweza kujadili hoja na si kunyooshea vidole mtu?
Nani kakwambia hii inamhusu yeye binafsi?
Unaijua nguvu ya kutokuwa na kauli thabiti kwa jambo lolote kweye jamii hata kama wewe si kiongozi wa juu.
Kwani njia pekee ya kupambana Ni barakoa? Mbona zile measures zilizotolewa na wizara ikiwemo barakoa hazijazuiliwa? Mbona barakoa zinavaliwa huku mtaani kwa wanaohitaji na hakuna anaekamatwa kuzuiliwa?Tatizo watu wakivaa barakoa viongozi wa serikali wanazuia, rejea kilichotokea moshi
Bro hivi kansa, kiharusi, magonjwa nyemelezi, ugonjwa wa kisukari, shinikizo la damu yalienda likizo sasa hayaui?Muuza magari maarufu jijini Dar es Salaam, Akachube afariki dunia usiku wa kuamkia leo.
Ndugu wa karibu wamesema amefariki kwa ugonjwa wa Nimonia.
Umaarufu wake ulipelekea mpaka kupewa barabara ya Akachube iliyopo Kijitonyama.
Mungu ailaze pema peponi roho yake.
Kwani ilitokea lini mtu akafa ikatangazwa kilichomuuguza directly? Ugonjwa umekuwa Siri kitambo sananyumonia kali eee - tuendelee tu kuficha maradhi !!!
Kauli ipi hiyo nzito waitaka?Unaweza sema vyovyote, lakini sina uhakika kama unajua thamani ya magonjwa ya mlipuko hata kama yana dawa au hayana dawa. Ni masuala yanayohitaji umakini na si kauli nyepesi kama hizi zako.
Hakuna corona halafu unaambiwa ujikinge nawe ulivyo bongolala unashindwa kuchanganya akili....Ni kiherehere chake tu,mbona kipindupindu kipo,malaria ipo,ukimwi upo,sukari ipo,kansa ipo,lakini asihusishwe navyo? Mtu huyu anahukumiwa kwa maneno yake!! Si kwa ukimya wake,anasema hakuna corona tanzania,na anajua kabisa kuwa kuna wajinga wengi sana tanzania ambao wataweza kumwamini na kuishi kama vile kweli hakuna corona,matokeo yake ni kuwa wataambukizwa na kuwaambukiza wengine,ni kama vile anavyosemaga kuwa tanzania ni nchi tajiri sana wakati tulishafundishwa kuwa tanzania ni nchi masikini na tukaridhika na kuishi kama masikini,sasa anavyotuambia kuwa sisi ni matajiri huku matumbo yana njaa na nguo zina viraka hapo ndiyo anatuamsha usingizini tuanze kudai mgao wa utajiri wa nchi yetu,ambao kiukweli wanasiasa ndiyo wanaougawana, mtu kama magufuli aliyekaa kwenye madaraka kwa zaidi ya miaka 25 akituita matajiri tunajua tu anatudhihaki,akisema hakuna corona ni kama anatutukana kwa kutuona hatuna akili na mwenye akili ni mmoja tu ambaye ndiye yeye
Subiri kauli uweze jikingaKwa hiyo kama wao wamekufa, wanakupa haki yako wewe pia kufa. Wewe unashindwa kutimiza yaliyo yako kwa kuwa wale wamekufa? Nafikiri unahitaji factory reset ili urudi kwenye logical thinking. Tathimini kauli zako kabla ya kuziandika.
Tunajua ni kwa kiasi gani tuko imara kwa mfumo wa miili kibailojia ukilinganisha na wenzetu kwa ugonjwa husika ingawa mifumo yao ya afya iko imara ukilinganisha na ya kwetu. Let us utilize that small difference to make better outcome by having better approach referring to my first post.
Ukaidi upi?Utatoa takwimu pasipochukuliwa takwimu halisia? Just for observation tuendelee na maisha tuone kati ya phase 1 na hii phase II, ipi itatuliza sana baada ya kwanza kujitahidi kutumia njia mbali mbali na hii tuliyokaidi.
Mwenyezi Mungu atupitishe salama pamoja na ukaidi wetu wa kushindwa kutumia akili zetu vyema na maarifa aliyotujalia ili tufanye post-mortem wote.
Chukua tahadhari achana na ukituko shaurilo"Chukueni tahadhari na kufuata muongozo wa WHO kupitia wizara ya afya, Corona ipo na inaua"..
Unajua kaka, Mh.Rais amefanya hata mtu ukivaa barakoa kwa sasa uonekane kituko.?????
Mmhhhhh!Ugonjwa haupo
Tanzania hakuna coroner
Zidumu fikra za mwenyekiti
Mzee sijakuelewa unabisha hakuna walioamua kujikinga kwa barakoa wakavuliwa?Kwani njia pekee ya kupambana Ni barakoa? Mbona zile measures zilizotolewa na wizara ikiwemo barakoa hazijazuiliwa? Mbona barakoa zinavaliwa huku mtaani kwa wanaohitaji na hakuna anaekamatwa kuzuiliwa?