share
JF-Expert Member
- Nov 22, 2008
- 6,064
- 10,468
"Mfichaficha magonjwa, kilio kitamfichua" . Nyerere.Walipoombwa kuzuia kabla haijaingia hawakukubali na ilipoiingia hawataki hata itamkwe !! Daahh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Mfichaficha magonjwa, kilio kitamfichua" . Nyerere.Walipoombwa kuzuia kabla haijaingia hawakukubali na ilipoiingia hawataki hata itamkwe !! Daahh
Wewe humjui Akachube?!!Mbona unaandika Kama vile wote humu tunamjua?
Ya kuugua au kufa?Aise nilipata habari hii pia
sema ikikuwa juu kwa juu
Ova
Unakaa kwa mama Zakaria au kwa mzee Manjunju?Duh kumbe huu mtaa ni jina lake...nilikua sijui...mitaa yangu hii daily
Hapana sikai huko nnaofisi mitaa hiyohiyo.... tena huko ulikotaja mbali sanaUnakaa kwa mama Zakaria au kwa mzee Manjunju?
may his relatives lives holy lifeMuuza magari maarufu jijini Dar es Salaam, Akachube afariki dunia usiku wa kuamkia leo.
Ndugu wa karibu wamesema amefariki kwa ugonjwa wa Nimonia.
Umaarufu wake ulipelekea mpaka kupewa barabara ya Akachube iliyopo Kijitonyama
Mungu ailaze pema peponi roho yake
Ambayo yataka tena ongezewa miaka iwe awamu ya mileleKafanikiwa kuitoroka awamu ya tano
Unajua inahitaji kauli moja tu ya Mh.Rais ,kuepusha watu na vifo hv
Lengo lako ni kuleta taharuki kwa jamii eeeeh? Nikuripoti TCRA? Ha ha ha haaaaa!Muuza magari maarufu jijini Dar es Salaam, Akachube afariki dunia usiku wa kuamkia leo.
Ndugu wa karibu wamesema amefariki kwa ugonjwa wa Nimonia.
Umaarufu wake ulipelekea mpaka kupewa barabara ya Akachube iliyopo Kijitonyama
Mungu ailaze pema peponi roho yake
Hatuna Corona, hatuhitaji chanjo. Mitano tena.Unajua inahitaji kauli moja tu ya Mh.Rais ,kuepusha watu na vifo hv
Watu hatujui thamani ya kauli zetu.
Hata kama tunatafuta kinga ya jamii kwa self exposure, ingekuwa kwa kuhimiza kujikinga ili wale wenye kupata shida waweze kuhudumiwa na hii mifumo yetu ya afya. Lakini, hii ya jumlajumla mifumo yaweza kuelemewa na idadi kubwa ya wagonjwa wenye uhitaji wa matibabu ya hali ya juu. Hapo ndo tutalia na kusaga meno. Very slowly exposure was a preferred mode, while taking care of the vulnerable people.
R.I.P Akachube
Kitambooo sanaUnakumbuka tulikua tunaenda kwao kununua mikate pale Magomeni ile Mikate Kama kichwa Cha Kassim Babu
Bado bado ngjaYa kuugua au kufa?
Ongea kwa vituo bwashee, barakoa muhimu!
mkuu mbona umeuliza kama vile marehemu ndo alikuwa Nyerere, binafsi pia ndo namsikia leo!!!Wewe humjui Akachube?!!
Rip baharia Akachube.
Hahahaaaa........ Wengi humu ni vijana wadogo na wengine mjini wamekuja kimasomo!mkuu mbona umeuliza kama vile marehemu ndo alikuwa Nyerere, binafsi pia ndo namsikia leo!!!