EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Pneumonia ndio COVID-19
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua inahitaji kauli moja tu ya Mh.Rais ,kuepusha watu na vifo hv
hizi ni kauli za mabeberu au nasema uongo ndugu zanguuuuuNchi masikini ikitafuta herd immunity kwa pandemic.... Nchi tajiri zimeshindwa...
Kauli ipi hiyo?Unajua inahitaji kauli moja tu ya Mh.Rais ,kuepusha watu na vifo hv
Kuna mwamba mmja yuko ze bonga ndy alinambia juu kwa juu naona ndy hivyo tnaUnakumbuka tulikua tunaenda kwao kununua mikate pale Magomeni ile Mikate Kama kichwa Cha Kassim Babu
Raisi mjua yote yule. Amefika hatua ya kutuchukulia kama watoto wake wakati hakuna mahusiano hayo. Sisi siyo watoto wake ila ni mabosi wake. Akae akijua hiloUnajua inahitaji kauli moja tu ya Mh.Rais ,kuepusha watu na vifo hv
Kumbe unakaa mitaa hiyo nina dem kitaa hicho mtu mzima flan hv isije ikawa ndio ww!Lala salama jirani Said Akachube
Pole sana kwa familia na wote walioguswa na msiba
Unajua inahitaji kauli moja tu ya Mh.Rais ,kuepusha watu na vifo hv
Mi nilitaka kuuliza Hili swali....Mi sijajua pneumonia ndo corona au??...Pneumonia ndio COVID-19
Kumbe unakaa mitaa hiyo nina dem kitaa hicho mtu mzima flan hv isije ikawa ndio ww!
Watu hatujui thamani ya kauli zetu.
Hata kama tunatafuta kinga ya jamii kwa self exposure, ingekuwa kwa kuhimiza kujikinga ili wale wenye kupata shida waweze kuhudumiwa na hii mifumo yetu ya afya. Lakini, hii ya jumlajumla mifumo yaweza kuelemewa na idadi kubwa ya wagonjwa wenye uhitaji wa matibabu ya hali ya juu. Hapo ndo tutalia na kusaga meno. Very slowly exposure was a preferred mode, while taking care of the vulnerable people.
R.I.P Akachube
Aise mama d mbn una ma beef humu siku hiziNakaa mitaa gani?
hivi kuna nchi AMBAYO imefanikiwa kupambana na Corona?
Kwa hii corona haihitaji kauli ya yeyote..uhai wako ni jukumu lako.Unajua inahitaji kauli moja tu ya Mh.Rais ,kuepusha watu na vifo hv
Suala siyo kupambana, suala ni approach kuelekea kuishi nayo. Read between the lines.
Huyo mvulana anaongea na mdomo bila kushirikisha ubongoAise mama d mbn una ma beef humu siku hizi
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Kwa hii corona haihitaji kauli ya yeyote..uhai wako ni jukumu lako.
Chukua tahadhari.
Wewe unaona magufuli anakosea wapi kwenye Corona?