TANZIA Said Akachube (Akachube Road) ambaye ni muuza magari maarufu DSM afariki dunia

TANZIA Said Akachube (Akachube Road) ambaye ni muuza magari maarufu DSM afariki dunia

Korona watu tunaumwa na kupona, wengine umauti unawafika.. Ni km vile nalaria na maradhi mengine watu wanaugua baadhi wanapona baadhi umauti unawabeba...
Mkuu ikifika mida ya jioni unapata maumivu makali ya viungo na kichwa kuuma kama mimi? Maana nahisi hii kitu inatembea mwilini mwangu
 
Wewe unaonaje?

Ulishawahi fikiria siku yako ikifika kama wewe binafsi unaweza ku negotiate na kumshawishi Mungu ili asikuchukue?

Imani zetu wengine zinatuambia tujifunze kuomba kwa imani kwa tunachota tutapewa, na ikitokea hatujapewa hicho basi tumshukuru Mungu kwa kila jambo
Tukipata tusipopata tumshukuru Mungu tu. That's what we have been instructed.
 
Mbona umetaja mbali Sana huko na Akachube road? Au unamdhihaki na hiyo mitaa ya uswahilini?🤓
 
Mkuu ikifika mida ya jioni unapata maumivu makali ya viungo na kichwa kuuma kama mimi? Maana nahisi hii kitu inatembea mwilini mwangu
Kapime kwanza typhod na malaria, Kama huna hivyo haraka anza utaratibu wa kukabiliana na huyo kirusi mkuu
 
Umakini upi unaoutaka wewe?.
Ina maana nchi nyingine wanaokufa na Corona hawana huo UMAKINI?

Kwa hiyo kama wao wamekufa, wanakupa haki yako wewe pia kufa. Wewe unashindwa kutimiza yaliyo yako kwa kuwa wale wamekufa? Nafikiri unahitaji factory reset ili urudi kwenye logical thinking. Tathimini kauli zako kabla ya kuziandika.

Tunajua ni kwa kiasi gani tuko imara kwa mfumo wa miili kibailojia ukilinganisha na wenzetu kwa ugonjwa husika ingawa mifumo yao ya afya iko imara ukilinganisha na ya kwetu. Let us utilize that small difference to make better outcome by having better approach referring to my first post.
 
Kama huu ugonjwa hauna dawa Wala tiba utajikinga vipi na kufa?.
1.kuvaa mask kwani wanaokufa hawavai mask?.
2kutumia sanitizer kwani huko wanaokufa hawatumii sanitizer?.
3.kunawa mikono kwani huko wanaokufa hawanawi mikono?.
4.lock down hao wanaokaa lock down hawafi na coronaa?.
hizi njia zote zinatumika unijumlisha na chanjo zimesaidia nini kwenye kupambana na Corona je Maambukizi yanaongezeka au yanapungua?
NDO MAANA MIMI NASEMA NIPO UPANDE WA MAGUFULI.
NI MUNGU Pekee ndo anaweza kutuokoa
Kwa hiyo kama wao wamekufa, wanakupa haki yako wewe pia kufa. Wewe unashindwa kutimiza yaliyo yako kwa kuwa wale wamekufa? Nafikiri unahitaji factory reset ili urudi kwenye logical thinking. Tathimini kauli zako kabla ya kuziandika.

Tunajua ni kwa kiasi gani tuko imara kwa mfumo wa miili kibailojia ukilinganisha na wenzetu kwa ugonjwa husika ingawa mifumo yao ya afya iko imara ukilinganisha na ya kwetu. Let us utilize that small difference to make better outcome by having better approach referring to my first post.
 
Mkuu ikifika mida ya jioni unapata maumivu makali ya viungo na kichwa kuuma kama mimi? Maana nahisi hii kitu inatembea mwilini mwangu
Corona ni kwa sababu pandemic ni ugonjwa unasambaa dunia nzima kwa njia ya haraka haijalishi unauwa sana au hapana ila unasambaa kwa njia ya haraka, Malaria sio issue ya kidunia hata kimikoa tu. utakuta kuna mikoa malaria sana mingine sio sana wala hakuna hatari ya kumwambikiza mtu ukiwa na malaria. Huyu mdudu wa corona tunapigana naye hata kumuona hatumuoni ila mbu unamuona.
 
Back
Top Bottom