TANZIA Said Akachube (Akachube Road) ambaye ni muuza magari maarufu DSM afariki dunia

TANZIA Said Akachube (Akachube Road) ambaye ni muuza magari maarufu DSM afariki dunia

Kama huu ugonjwa hauna dawa Wala tiba utajikinga vipi na kufa?....

Usikariri, jaribu kutafakari na kuelewa context. Jisomee ujiongezee maarifa zaidi kwenye suala husika ili uweze kutanabaisha uelekeo mzuri kati ya options/chaguo mbele yako. Usishikilie kitu kwa sababu ya emotion au mapenzi binafsi. Hii ni sayansi wala si kingine.
Toa rejeo lolote kwa unachokisimamia.

Ingekuwa hivyo, usingetumia dawa za Sukari, Malaria na presha n.k
Kwani si kila anaekunywa au kutumia hupona.
Acha maneno ya kukata tamaa.
 
Mkuu ikifika mida ya jioni unapata maumivu makali ya viungo na kichwa kuuma kama mimi? Maana nahisi hii kitu inatembea mwilini mwangu
wahi mirembe hospitali Dodoma kichaa hicho kinakunyemelea
 
Corona ni kwa sababu pandemic ni ugonjwa unasambaa dunia nzima kwa njia ya haraka haijalishi unauwa sana au hapana ila unasambaa kwa njia ya haraka, Malaria sio issue ya kidunia hata kimikoa tu. utakuta kuna mikoa malaria sana mingine sio sana wala hakuna hatari ya kumwambikiza mtu ukiwa na malaria. Huyu mdudu wa corona tunapigana naye hata kumuona hatumuoni ila mbu unamuona.

Very true,
Watu wengine wanaongea utafikiri vichwa wamesahau nyumbani.
 
Nafikiri ungetoa takwimu za Corona.tangu tulipoanza kutumia mask , sanitizer na maji yakunawa.

alafu tuangalie ugonjwa unaongezeka au unapungua.
 
Nafikiri ungetoa takwimu za Corona.tangu tulipoanza kutumia mask , sanitizer na maji yakunawa.
alafu tuangalie ugonjwa unaongezeka au unapungua

Utatoa takwimu pasipochukuliwa takwimu halisia? Just for observation tuendelee na maisha tuone kati ya phase 1 na hii phase II, ipi itatuliza sana baada ya kwanza kujitahidi kutumia njia mbali mbali na hii tuliyokaidi.

Mwenyezi Mungu atupitishe salama pamoja na ukaidi wetu wa kushindwa kutumia akili zetu vyema na maarifa aliyotujalia ili tufanye post-mortem wote.
 
nyungu nyungu kwa kwenda mbele....hii corona hii...imemaliza hata mbinu za kuchepuka....
 
Unahisi kauli gani inaweza kuepusha watu na vifo hivi?

Hebu tusaidie hiyo kauli moja tuu inayozidi ile ya kuambiwa tuchukue tahadhari aliyotuambia rais John Pombe Magufuli ili tuwaambie na nchi zingine duniani watumie hiyo hiyo kauli kuepusha vifo

Mimi ningesema tuendelee kuchukua tahadhari, tule vizuri, tufanye mazoezi na kuchapa kazi🙏
"Chukueni tahadhari na kufuata muongozo wa WHO kupitia wizara ya afya, Corona ipo na inaua"..

Unajua kaka, Mh.Rais amefanya hata mtu ukivaa barakoa kwa sasa uonekane kituko.?????
 
[emoji23][emoji23][emoji23] hajui kuwa wewe ni ex-pilato
Asije akakufanya ukarudi mzgni
Mwacheni mama D bana apumzike
[emoji23][emoji23]

Ova
😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣
Wewe mrangi wewe😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom