Sijui mkuu, binafsi nimejikuta ananipaka shombo tu.kiongozi huyu jamaa ana matatizo gani?
mbona hata mimi kanivamia na matusi juu?
bahati nzuri una busara sana mimi nimempa chenchi hapa hapa
Sasa Vanessa mkaa uchi nayeye ni msanii?
Asee we kama ni ME basi shoga.. yaan una ubishi wa kike sana.? Nenda anapoishi RAYVANY ukaulizie kama ile nyumba ni yake au kapanga. KAMA AMEJENGA NI MBALIZI huko. Mjini hapa anatamba kwenye IG.Punguza gubu Dada harmonize ata theluthi ajafikia kwa diamond eboooh msieeeeeeeew
Rayson jina tu utataKalale mwanamke auna hata haya eboooh
...............[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakuu sina uelewa sana kwenye muziki wa bongo na pia tabia ya kufatilia lifestyle la wasanii pia sijajaliwa ila naomba niseme hichi kitu ili tuelewane ni kwamba mimi binafsi sina uelewa wowote na sina lakuchangia coz kwanzia mwanzo nilishasema,,, Asanten sana
Numbisa mbona unataka mjinga ajibiwi kwa matusiMkurupuko on fleek. Beyonce anakaa uchi je nae sio msanii. Pia angalia ulipoquote wapi nimemtaja vanessa. Nyoko
Ujielewiwewe unachokitafuta utakipata muda sio mrefu.
ngoja niwastue mabaharia naona ujapigwa ukuni kitambo
nini kilichokufanya uanze kunikoti kama sio shobo rudi uko uko mombasa si ndo kwenu?
uzi wote we ndo una replay kila mtu! nn hiki kama sio tu unataka kupigwa ukuni?
sema tu kama umenipenda me nifukue tope hilo
Waldo je?Rayson jina tu utata
Numbisa mbona unataka mjinga ajibiwi kwa matusi
Numbisa nishajua aina ipi za series za korea unazopenda Kuna series inaitwa garden pain ya mjini ni noma Sana na utajuta kuangalia ebu itafute.Aah ukicheka na nyani utavuna mabua..nenda nae kwa style anayoitaka ataelewa tu
Numbisa nishajua aina ipi za series za korea unazopenda Kuna series inaitwa garden pain ya mjini ni noma Sana na utajuta kuangalia ebu itafute.
Yah nimekosea inaitwa Golden garden.Wewe mtu kwa kukosea majina hujambo. Angalia vizuri itakua ni secret garden sio garden pain
Yah nimekosea inaitwa Golden garden.
Halo kabibi mnaangaika nako bure Ni kabishiWe umejuaje wasafi wanachukua 80%? We unajua how much WCB wametumia kumfanya harmo awe hivyo?hiv wewe Bila wcb huyo harmo ungemfahamu?
Oyaaaa ....nimecheka kinomaWakukaya unakwama wapi dem wa Rayvanny asingeishi nae kama hana fedha yule dem nilikutana nae century cinema mlimani aisee ana spend pesa nadhani anatumia zaidi ya 3M kwa siku na kalikuwa na msururu wa watu wanakafanya kama Queen
Kiranga Ni Genius wa Jf na social networks zoteNimeipenda hii sheria.Umeitoa wapi mkuu?Maana nimejaribu kuisearch sijaipata.Nataka niipitie vizuri,kama hutojali.
Naomba mpenzi unitajie app ya kuangalia au kudownload Korea drama ambayo unasearch series unayotaka ukiachana na baebak please.Hio project ndefu mno,inaisha october. Ntasubiria iishe ndo niivute yote
Naomba mpenzi unitajie app ya kuangalia au kudownload Korea drama ambayo unasearch series unayotaka ukiachana na baebak please.