Said Fella: Harmonize kama ameondoka ni vizuri akiaga

kiongozi huyu jamaa ana matatizo gani?
mbona hata mimi kanivamia na matusi juu?
bahati nzuri una busara sana mimi nimempa chenchi hapa hapa
Sijui mkuu, binafsi nimejikuta ananipaka shombo tu.
Sasa nilipo kaa nikatafakari kidogo, nikaona ebu ngoja nimpuuze na nikamuweka kwenye jukwaa la ignored.
Nakushauri tu mpuuze
 
Punguza gubu Dada harmonize ata theluthi ajafikia kwa diamond eboooh msieeeeeeeew
Asee we kama ni ME basi shoga.. yaan una ubishi wa kike sana.? Nenda anapoishi RAYVANY ukaulizie kama ile nyumba ni yake au kapanga. KAMA AMEJENGA NI MBALIZI huko. Mjini hapa anatamba kwenye IG.
Hatuombei mabaya ila ili ujue WCB mbwembwe nyingi subiri mmoja afe ushuhudie anavyomiliki.
 
Wakuu sina uelewa sana kwenye muziki wa bongo na pia tabia ya kufatilia lifestyle la wasanii pia sijajaliwa ila naomba niseme hichi kitu ili tuelewane ni kwamba mimi binafsi sina uelewa wowote na sina lakuchangia coz kwanzia mwanzo nilishasema,,, Asanten sana
 
...............[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ujielewi
 
Aah ukicheka na nyani utavuna mabua..nenda nae kwa style anayoitaka ataelewa tu
Numbisa nishajua aina ipi za series za korea unazopenda Kuna series inaitwa garden pain ya mjini ni noma Sana na utajuta kuangalia ebu itafute.
 
Wewe mtu kwa kukosea majina hujambo. Angalia vizuri itakua ni secret garden sio garden pain
Numbisa nishajua aina ipi za series za korea unazopenda Kuna series inaitwa garden pain ya mjini ni noma Sana na utajuta kuangalia ebu itafute.
 
Wakukaya unakwama wapi dem wa Rayvanny asingeishi nae kama hana fedha yule dem nilikutana nae century cinema mlimani aisee ana spend pesa nadhani anatumia zaidi ya 3M kwa siku na kalikuwa na msururu wa watu wanakafanya kama Queen
Oyaaaa ....nimecheka kinoma
Wanakafanya Kama queen?
 
Hio project ndefu mno,inaisha october. Ntasubiria iishe ndo niivute yote
Naomba mpenzi unitajie app ya kuangalia au kudownload Korea drama ambayo unasearch series unayotaka ukiachana na baebak please.
 
Toa neno mpenzi. Sina mpenzi JF na wala sihitaji. Kulikua na dramania ila imeharibika siku hizi. Kuangalia jaribu dramanice,kissasian
Naomba mpenzi unitajie app ya kuangalia au kudownload Korea drama ambayo unasearch series unayotaka ukiachana na baebak please.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…