Ko, m2, 2na, ha2toboiAcheni uzwazwa,ko m2 akiondoka WCB ndo umekua mwisho wake!!!?
Kama ipo ipo 2....
Ko ukikua; usiondoke kwenu kwenda kujitegemea!!!?
Maisha ni kupanga,na kupanga ni kuchagua.....
Hizo ni dalili za uoga,na uoga ni umaskini....
Na maskini wengi 2na mindset kama hizi ndo maana ha2toboi.
Poa, ukionaga habari kama hizi roho yako huwa inafurahi sana.
Wao wamemnyonya nani au wamekunyonya wewe katika harakati za kukukinga na lile gonjwa hatari ?Walikua wanamlalamikia Ruge anayonya wasanii,na wao wanapita humo humo.
Huyu ndie kwanza simtofautishi na mlipuko, ukimsogelea lazima ikule kwako..teh[emoji23][emoji23]
Duuu 3M kwa siku,kweli hapa ndo naamini kuna usanii na wasanii. Yaani hyo 3M hata Magufuli mwenyewe raia no.1 tz hatumii hyo Pesa per day.yaani hata mo dewj
Mnajikutaga miungu watu[emoji57][emoji57][emoji57]Kwa kifupi atangaze tuanze kufuta nyimbo zake na kumtenga rasmi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aiseee hadi meneja anatetemeshwa na tetesi za mitandaoni. Kuwa mswahili raha sana unaropoka tu kila kinachokujia akilini.
Watu na timu zetu...yani mimi mtu akiwa usafini hata kama ni bubu namkubali tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Fella anasema habari za Harmonize kuondoka Wasafi hata wao wanazisikia mitandaoni.
Ila kama anaona amekuwa basi wao hawawezi mzuia kutoka Wcb.
Amemuomba aage akiondoka.
Ml 3 kwa siku? Wakati huo meneja wa BOT analipwa shingapi?
Likizungumzia ujinga wa mtuSwali la kijinga
Taja msanii mmoja wa nje ya Wasafi aliyemzidi Diamond!Ukiwa under wasafi,umaarufu utaupata sawa ila lazima watamake sure usimzidi Diamond.
Labda yeye ndo beki tatu wao mkuu utajuaje sasaWewe imejuaje Kama ni show off?
DudubayaTaja msanii mmoja wa nje ya Wasafi aliyemzidi Diamond!
@mkubwafellatmk - WATANZANIA ni kweli wakalimu wanyenyekevu lakini pia wepesi wakuoneana huruma. Ila inatengeamea ukiwa ulicho wadisia kinawaingia haraka ila tukijua unatuongopea sasa apo utatafuta kila sababu uwaombe tena wakuamini tena sasa mie naomba tunatakiwa tutumie ukweli japo kidogo kuliko kuendelea kutumia uongo zaidi wakuonee huruma apo ni kupoteza muda maana ivi mwanzo ulipo kuwa unatafutiwa kudele ili wakujue awo unao chukua muda uwongopee ndio walio ombwa sapoti kwenye ukuaji wako sasa wanakujua ukiona wanakusapoti mfano kwenye ukurasa wako na wakiwa wanakwambia ndio sawa sawa tena mwengine anaenda mbali zaidi yule k......uyo mjue anakuchimbia shimo tena shabiki mwenye uwadui kwako. wazo natoa kuonewa huruma umlazimishi shabiki ila ukiona au mkiona mnapotea ludini niwashauli. sijazaliwa na roho mbaya kama ningekuwa na roho mnayo ifikilia msinge fika apa ujumbe huu kwa yoyote asie juwa umuhimu wa mtu alio kusaidia awali. lakini pia sio lazima kukumbuka alio kukufikisha kila sebuleni kwa watu kuwafahamu. sasa nawashauri komaeni mtaendelea kuwepo kikubwa kumuomba mwenyeziMUNGU tena chukueni muda mwingi kumuomba MUNGU kuliko kuwa imanisha watu ujinga. nyote nilio watengeneza mimi niwachukue mmefanya nini.kumbukeni mwanzo niliwauliza solo anajua mziki mkasema anafanya kazi na marehem R.I.P Boss nilibariki mwende sasa keleta uongo wa nini alafu naomba kutoa ushauri aswa kwa nyie mwenyeziMUNGU alio wabariki pesa msiwalubuni vijana kwa pesa zenu mnawafelisha sisi tupo mtaani ndio tunawajua life style yao nyie amuwezi movement zao. Aya naona nawengine mnaanza kumtia tamaa mwanangu KONDEBOY mie najua utamu wa kazi hii ata uchungu wa kazi hii. najua msanii ana mamuzi ya ukuwaji maendeleo ila mwanangu ukiona ulipo inatosha sawa ila Aga tu vinzuri ata mie nna kila sababu ya kukushauli maana nawajua wenye hela za mjini wanapenda kugusanisha nyaya bin cheche sasa before kuangalia maendeleo wadeki awo jamaa wapo sawa maana mie nawajua zaidi tena labda ujui majina yao yapo Itary wanataka kununu vifaa vya MEDIA. sasa wanangu tuchange karata vinzuri.tena kuna muda walimshauli bin kumlubuni @diamondplatnumz etietietieti[emoji23][emoji23][emoji23] achane na sisi wampe usd 100,000 tumalizane etietieti [emoji23][emoji3]
View attachment 1177001
[emoji848]