Said Fella: Harmonize kama ameondoka ni vizuri akiaga

Mlidaganya Mavoko yupo wapi Sasa. Hormonaze haya Tena, Mkumbuke njia zote za kupata tamasha ni za Dangote na wezake
 
Ukiona mtu anajitoa WCB anajua sababu na anajua matokeo yake.
Moja ya matokeo ni kushuka ila anakubali kuwa huru
Uhuru bila hewa ni us#nge[emoji857][emoji857][emoji857]
 
kwani katoroka?
Unachotaka wewe na nafikiri ndio tabia zako,kuongezea ongezea tumaneno tusito na mitazamo mipana katika kila hoja ya mwingine ili mradi lazima ushinde. Huyo dogo unaambiwa hajarepot kambini kwao kama ilivyo kawaida yao. Ila yupo hapo hapo huku akionekana amefungua ofisi yake sinza kijiweni,bila kuwashirikisha viongozi wake. (Huo tu ni usariti na uasi). Na huko ndio kutoroka. Ksbb upo hapo na hufiki ofisini kama ilivyo kawaida (huko sio kutoroka?). Kamuelimishe vizuri namna nzuri yenye heshima hata kwa jamii inayomshabikia,namna nzuri ya kuondoka mahala walipokulea kisanii mpaka kufikia alipo. Bila Diamond yule dogo kuna hata ndoto ya angefikia hapo alipo sasa?. Basi aage nafikiri nao viongozi wake watamruhusu kwa heshima tu,wanaweza kuitwa hata waandishi wa habari au hata part fulani wakaagana kwa amani. Kuliko hivi anavyofanya hata jamii itamtafsiri ni jeuri.
 
mkataba wake umeshawahi kuusoma kuwa kunakipengele cha kureport ofisi za WCB kila siku??

muacheni mtu afanye anachoona kinafaa na kama amekiuka mkataba, wakusemea hilo ni Diamond ambaye mpaka majuzi ameconfrim kuwa kijana bado yupo chini ya label yao.
 
Naona harmo sasa amejiunga rasmi kwny timu ya kusifu na kuabudu rasmi,nimeiona remix yake ya kwangaru.
 
Huyo Sara kamkuta Hamo ana ghorofa kajenga kwa pesa za muziki labda km alimfanyia finishing... Rayvanny ana nyumba yenye swimming pool sasa wananyonywaje awa watu? Lavalava kaanza muziki juzi tu
Aisee hata harmonize Kuna ghorofa anajenga huku mtaani kwangu karibu na madale.
Kwa hiyo sidhani Kama ananyonywa.
 
Mkuu, naomba nitoke nje ya mada...
Kipindi kile nakusoma hapa ulikuwa kapole sana, tofauti sana na mapema mwakahuu umekuwa m-bishi na umepoteza woga.
Naomba niishie hapa kwa leo
Ni kabishi haka kadada kangu

Kabishi balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…