Said Mtanda: Msemaji wa Simba anatumia Umaarufu wake kunichafua

“Ahmed Ally amenikosea sana, anatumia umaarufu wake kunichafua, Mimi siyo kiongozi Wa kwanza kushabikia Yanga”

Mh Said Mtanda, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kupitia kipindi cha michezo cha Crown Sports ya Crown FM

Una maoni gani?
Amejichafua nwenyewe, utopolo utamponza awe careful
 
“Ahmed Ally amenikosea sana, anatumia umaarufu wake kunichafua, Mimi siyo kiongozi Wa kwanza kushabikia Yanga”

Mh Said Mtanda, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kupitia kipindi cha michezo cha Crown Sports ya Crown FM

Una maoni gani?
Utopolo ina wasemaji wengi sana ila wote mabwege
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…