Mwanadiplomasia Mahiri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 491
- 1,907
Mtanda huna lolote“Ahmed Ally amenikosea sana, anatumia umaarufu wake kunichafua, Mimi siyo kiongozi Wa kwanza kushabikia Yanga”
Mh Said Mtanda, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kupitia kipindi cha michezo cha Crown Sports ya Crown FM
Una maoni gani?
Wenye akili Yanga ni wawili tuNimemsikia RC! Kiukweli Ahmed Ally na baadhi ya mashabiki wa simba, wana uwezo mdogo sana wa kufikiri. Mihemko na bendera fuata upepo ndiyo sifa yao.
Hakika aliewaita utopwinyo aliwaza mbali sanaNimemsikia RC! Kiukweli Ahmed Ally na baadhi ya mashabiki wa simba, wana uwezo mdogo sana wa kufikiri. Mihemko na bendera fuata upepo ndiyo sifa yao.
Kwani mtu akiwa mchafu, hawezi chafuka zaidi? Pengine kamwongezea uchafu juu ya uchafu wake..!!Anaposema Ahmed Ally msemaji wa Simba kuwa anatumia umaarufu wake kumchafua, kwani yeye ni msafi kiasi gani?
51mba wote ni mbumbumbu..!! Sababu anazijua Rage na Kaduguda.Wenye akili Yanga ni wawili tu
Na Yanga wote ni manyani na mambwa, sababu anazijua Luc Eymael51mba wote ni mbumbumbu..!! Sababu anazijua Rage na Kaduguda.
Nimemsikia RC! Kiukweli Ahmed Ally na baadhi ya mashabiki wa simba, wana uwezo mdogo sana wa kufikiri. Mihemko na bendera fuata upepo ndiyo sifa yao.
Jina limewakaa vizuri sana hawa mandugudigitals!😂😂😂Hakika aliewaita utopwinyo aliwaza mbali sana
Usisahau aliyesema nyie ni mbumbumbu aliyasema hayo akiwa mwenyekiti wenu. Hivyo anawajua sana. Na kaduguda akaja kusisitiza umbumbumbu wenu..!!Na Yanga wote ni manyani na mambwa, sababu anazijua Luc Eymael
Amejichafua nwenyewe, utopolo utamponza awe careful“Ahmed Ally amenikosea sana, anatumia umaarufu wake kunichafua, Mimi siyo kiongozi Wa kwanza kushabikia Yanga”
Mh Said Mtanda, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kupitia kipindi cha michezo cha Crown Sports ya Crown FM
Una maoni gani?
Utopolo ina wasemaji wengi sana ila wote mabwege“Ahmed Ally amenikosea sana, anatumia umaarufu wake kunichafua, Mimi siyo kiongozi Wa kwanza kushabikia Yanga”
Mh Said Mtanda, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kupitia kipindi cha michezo cha Crown Sports ya Crown FM
Una maoni gani?
Utopolo, utamtambua tu!Nimemsikia RC! Kiukweli Ahmed Ally na baadhi ya mashabiki wa simba, wana uwezo mdogo sana wa kufikiri. Mihemko na bendera fuata upepo ndiyo sifa yao.