Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Muache kusingizia wazee wetu51mba wote ni mbumbumbu..!! Sababu anazijua Rage na Kaduguda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muache kusingizia wazee wetu51mba wote ni mbumbumbu..!! Sababu anazijua Rage na Kaduguda.
Kwani hujui kuwa RAGE alisema wana51mba ni mbumbumbu?Muache kusingizia wazee wetu
Niwekee clipKwani hujui kuwa RAGE alisema wana51mba ni mbumbumbu?
“Ahmed Ally amenikosea sana, anatumia umaarufu wake kunichafua, Mimi siyo kiongozi Wa kwanza kushabikia Yanga”
Mh Said Mtanda, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kupitia kipindi cha michezo cha Crown Sports ya Crown FM
Una maoni gani?
Najua, kwani hujui Manara alisema wenye akili Yanga ni wawili tu, mzee Manara na mzee Kikwete. Sasa sijui hao wengine hata sitaki kuwataja kwa vyeo vyao wana akili au hawana?😄😃🤣Kwani hujui kuwa RAGE alisema wana51mba ni mbumbumbu?
Kasoro wawili Yanga wote hawana akili, sababu anazijua Haji Manara.51mba wote ni mbumbumbu..!! Sababu anazijua Rage na Kaduguda.
Simba ni kubwa kuliko mtu. Apeleke ushabiki wake maandazi kwa waliomtuma asitubabaishe sisi.“Ahmed Ally amenikosea sana, anatumia umaarufu wake kunichafua, Mimi siyo kiongozi Wa kwanza kushabikia Yanga”
Mh Said Mtanda, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kupitia kipindi cha michezo cha Crown Sports ya Crown FM
Una maoni gani?
Kwani Haji Manara alisema nini kuhusu UtopoloAmejichafua nwenyewe, utopolo utamponza awe careful
Kwani aliyesema Yanga ni MANYANI hakuwa kocha wenu wa Yanga. Acha kujitoa ufahamu Topolo mkubwa bheye.Usisahau aliyesema nyie ni mbumbumbu aliyasema hayo akiwa mwenyekiti wenu. Hivyo anawajua sana. Na kaduguda akaja kusisitiza umbumbumbu wenu..!!
Huna akili wewe, wenye akili ni wawili tuKwani hujui kuwa RAGE alisema wana51mba ni mbumbumbu?
Huna akili wewe Utopolo nyamaza, wenye akili ni wawili tu Yqnga51mba wote ni mbumbumbu..!! Sababu anazijua Rage na Kaduguda.
Hilo lipo wazi.Wenye akili Yanga ni wawili tu
Kweli kuna mzungu alisema viongozi na mashabiki wa UTOPOLO ni MANYANI na kuna mzungu pori mwingine aliskika akisema, nanukuuKwani hujui kuwa RAGE alisema wana51mba ni mbumbumbu?
Hahahah imefanyeje mkuuTANZANIA YANGU
Kwann umsikie RC tu peke yake na kumuamini na sio Ahmed Ally?Nimemsikia RC! Kiukweli Ahmed Ally na baadhi ya mashabiki wa simba, wana uwezo mdogo sana wa kufikiri. Mihemko na bendera fuata upepo ndiyo sifa yao.
Sisi ndiyo Simba SC AKA;Wenye akili Yanga ni wawili tu
Ushahidi wa huyo Ahmed Ally uko wapi nje ya hizo shutuma alizozitoa kwa njia ya mdomo? Kulikuwa hakuna vifaa vya kurekodia hayo matukio? Hao akina Matola walipelekwa kituo gani cha polisi baada ya kukamatwa?Kwann umsikie RC tu peke yake na kumuamini na sio Ahmed Ally?
Ahmed Ally anafaidika na nini kumchafua RC kwa vitu vya kutunga au anaitaka hiyo nafasi yake?