Said Mtanda: Msemaji wa Simba anatumia Umaarufu wake kunichafua

Said Mtanda: Msemaji wa Simba anatumia Umaarufu wake kunichafua

FB_IMG_17321683238871298.jpg
 
Ahmed ni mtoa taarifa tu,huo yawezekana ni msimamo wa Taasisi ambayo ni Simba
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Ushahidi wa huyo Ahmed Ally uko wapi nje ya hizo shutuma alizozitoa kwa njia ya mdomo? Kulikuwa hakuna vifaa vya kurekodia hayo matukio? Hao akina Matola walipelekwa kituo gani cha polisi baada ya kukamatwa?
Unaamuuliza nani sasa. Si ujijibu mwenyewe
 
Ushahidi wa huyo Ahmed Ally uko wapi nje ya hizo shutuma alizozitoa kwa njia ya mdomo? Kulikuwa hakuna vifaa vya kurekodia hayo matukio? Hao akina Matola walipelekwa kituo gani cha polisi baada ya kukamatwa?
Huna akili wewe wenye akili ni wawili tu
 
Nimemsikia RC! Kiukweli Ahmed Ally na baadhi ya mashabiki wa simba, wana uwezo mdogo sana wa kufikiri. Mihemko na bendera fuata upepo ndiyo sifa yao.
Unaumwa mzee baba .....ngoja siku yawakute..na ashukuru tumeishia hapo la sivyo hii ishu ingeenda juu Tanzania ingekua kama kenya...
 
Unaumwa mzee baba .....ngoja siku yawakute..na ashukuru tumeishia hapo la sivyo hii ishu ingeenda juu Tanzania ingekua kama kenya...
Wakati mwingine badala ya kukimbilia kwenye ile mihemko yenu, muwe mnajiongeza kufanya utafiti kwanza na kujiridhisha.
 
Rais wetu hana akili za kitoto za kumuondoa MTUMISHI kazini kisa eti Ahmed Ally na Simba. Huo ujinga bakini nao huko kwenye vilabu vyenu. Msiulete Serikalini!
Kama wenyewe tu wameshindwa kumuondoa Mwenyekiti wao Mangungu, ndiyo watamuweza mteule wa Rais wa CCM kweli! Au ndiyo mambo yale yale ya kukosa kazi za kufanya kwa Watanzania walio wengi!!
 
Said acha kuchanganya mpira wetu na mambo ya siasa & ushabiki wa uto.
Kwani unafikiri Waziri Mkuu haipemdi Simba? Je uliwahi kusikia anajaribu kuihujumu Yanga ama Azam kwa kutumia madaraka yake popote pale ili Simba ipete.?

Lisemwalo lipo, jirekebisje Mkuu, sisi wana Simba tunakusamehe.
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Wakati mwingine badala ya kukimbilia kwenye ile mihemko yenu, muwe mnajiongeza kufanya utafiti kwanza na kujiridhisha.
Ww kama umefanya utafiti ni lipi umekuja nalo la kiutafiti??
 
Ww kama umefanya utafiti ni lipi umekuja nalo la kiutafiti??
Utafiti wangu mdogo tu na usio rasmi, nimegundua Watanzania wengi wanaendesha na mihemko, huku uwezo wao wa kufikiri na kuhoji kabla matukio; ukiwa uko kwenye kiwango cha chini kupitiliza.
 
Utafiti wangu mdogo tu na usio rasmi, nimegundua Watanzania wengi wanaendesha na mihemko, huku uwezo wao wa kufikiri na kuhoji kabla matukio; ukiwa uko kwenye kiwango cha chini kupitiliza.
Acha mbambamba baba..kama huoni kosa endelea kukaza shingo ikatike..
 
Kama wenyewe tu wameshindwa kumuondoa Mwenyekiti wao Mangungu, ndiyo watamuweza mteule wa Rais wa CCM kweli! Au ndiyo mambo yale yale ya kukosa kazi za kufanya kwa Watanzania walio wengi!!
Ahahahahaha! Mkuu ujue na mimi ni Simba ingawaje utotoutoto uliooneshwa na viongozi na washabiywa Simba hapa Mwanza siuungi mkono kabisa!!
 
Alisha jichafua na issue ya Nawander tena vibaya mno
“Ahmed Ally amenikosea sana, anatumia umaarufu wake kunichafua, Mimi siyo kiongozi Wa kwanza kushabikia Yanga”

Mh Said Mtanda, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kupitia kipindi cha michezo cha Crown Sports ya Crown FM

Una maoni gani?
 
Mtanda alipigiwa simu na waganga wa Pamba waliokuwa wamejificha kwenye vyumba Kiwanjani .Simba walipohoji wanafanya nini kwani kinanuni wao ndio waliopaswa kuwepo uwanjani siku hiyo.Wakajifungia ndani.
Mtanda akatumia kofia yake kuwakingia kifua. Ukiwa na tatizo kiusalama unampigia Mkuu wa Mkoa au unapiga simu Polisi?
Mtanda alikuwa na uhusiano gani kikazi na hao waganga?
Mtanda ametumia nguvu nyingi kujisafisha kwenye hili .Ukiwa Mwenyekiti wa kamati ya Usalama ya Mkoa hauna Mkuu wa Wilaya au waliopo chini yako kwenye chain of command?
Rweyemamu na Matola walishikiliwa na baada ya vurumai ikabidi waachiwe bila kufikishwa Polisi.
 
Back
Top Bottom