Mbona wanawake hawapo kwenye msiba huu
Mungu akubariki kwa taarifa akainue mtu kama wewe sikuyako ya tusipitwe nakitakachoendelea
Sikutishinamaanisha tukiandae mbele yake nyuma yako
yes mwepesi wa kukimbia ofisi....na ikitokea msiba wa mtu anayemfahamu haraka haraka anafunga ofisi na kwenda msibani. Akitoka hapo si ajabu ukasikia anasafiri kwenda Rio kuangalia viwanja vya mpira
Piga mswaki kwanza ndo uje huku jf. Unanuka mdomo.
JK mtu wa watu...rais wetu ana utu sana...hiyo thamani ya shilingi inayoshuka nenda kaipandishe wewe..au mwambie mumeo akkaipandishe,,nyambafu zako