TANZIA Said Ngamba alias 'Mzee Small wa Ngamba' afariki dunia

TANZIA Said Ngamba alias 'Mzee Small wa Ngamba' afariki dunia

utaskia oh alikua mtu muhimu ktk jamii cjui kioo cha jamii tz tmepoteza mtu mashuhuri sana .....sasa jamani tuna hitaji mchango wenu sana ila wakati anaumwa ah hawakumpa msaada vya kutosha...
Vile vile kama kawaida wale jamaa zetu wa kijani, wataanza kufanya censor ya kisirisiri, kuwa nani kahudhuria kwenye msiba wa mzee Small na nani hakuhudhuria!
 
Rest in peace. Mzee Small. Hope utakuwa wa Mwisho kwenye industry mwaka huu.
 
Kuna taarifa nilozozipata
hivi punde kuwa muigizaji Said Ngamba au Mzee Small Amefariki dunia
baada ya kuugua muda mrefu.
Natanguliza pole kwa wafiwa.
confirmed
niko msibani maana mzee small ni jirani yangu kabisa mita kumi kutoka kwangu, nitawadondoshea up date yatakayojiri
 
Dah!! Pumzika kwa amani Mzee Small
 
R.I.P

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Uliisaidia sana sanaa yetu mpaka hapa ilipofika. Mungu akuepushie adhabu ya kifo. RIP Mzee Small.
 
RIP mzee small
kwa mujibu wa ndugu wa marehemu wa karibu mazishi yatafanyika kesho katika makaburi ya segerea saa kumi jioni. bado mpaka mida hii sijawaona wale jamaa zetu wa lidas labda hadi kufikia mchana tutapata habari mpy kama ataagwa kule uwanjani au shughuli itaishia hapa nyumbani kwake
 
kwa mujibu wa ndugu wa marehemu wa karibu mazishi yatafanyika kesho katika makaburi ya segerea saa kumi jioni. bado mpaka mida hii sijawaona wale jamaa zetu wa lidas labda hadi kufikia mchana tutapata habari mpy kama ataagwa kule uwanjani au shughuli itaishia hapa nyumbani kwake

asante kwa taarifa Mtambuzi
waislam sidhan kama kuna mambo ya kuaga ile
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom