Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa kichwa sana huyu na I have a lot of respect for him. Hana makuu wala na yuko very humble. Sio kama matajiri uchwara wa kibongo wenye fujo za kijinga.
mkuu hapo ni upeo wako na fikra zako zinapo ishia?Du basi jamaa anampunga sana yani anamzidi anamzidi Young Money CEO Birdman kwa Mara 27 aisee hatareee!!
Yaani jamaa ana $520 mil. hapa bongo hiii imeniuma kweli -hivi wakina Kimuga,Lyimo,Masanja,Mapunda,Nnko,Nyange hivi mpo wapi mbona uchuuzaji mmeanza zamani-mikakati yoote mara MKUKUTA na ile nyingine MKURABITA imefanya nini-haya jamani ngoja nikae kimya na wivu wangu!
Kenya tajiri wao mkubwa ni nausha Merali ni Mhindi pia manba 39! so hamna tofauti!kweli kabisa,afazal nigeria wamejitaidi matajiri wengi ni mablack,na kenya kidogo,ukija tanzania matajiri wengi ni waarabu na waindi japo ni watz
Malizia,mu-islaam mwenye asili ya Asia!Katika nchi ya mfumo-kristu, Muislaam anaongoza kwa utajiri!
Tajiri namba moja Bongo, namba 2 EA halafu bado anauza ice-ream kwenye vituo vya daladala na chapati za 500/= kama wajasiliamali wadogo wanawake!!
Kenya tajiri wao mkubwa ni nausha Merali ni Mhindi pia manba 39! so hamna tofauti!
Sasa hivi mjadala utaelekea kwingine!!