Thegreatcardina
JF-Expert Member
- Mar 29, 2009
- 406
- 179
Utamuonea bure!Umeambiwa anaviwanda hadi nje ya nchi lakini collectively ndiyo anahela ndefu!Kwahiyo usikariri kuwa mapato yake yote yanatokea tanzania maana unawezakukuta kwa investment zake za bongo peke yake wapo wanaomburuza so siajabu kutokuwepo ktk orodha ya walipa kodi bora 20 hapa nchini.
Au kama una-data za kuthibitisha madai yako basi tuwekee jamvini na sisi tujionee.
Nijuavyo ana viwanda Tanzania, Zambia, Rwanda na Uganda, Sina uhakika kati ya Msumbiji kuina mojawapo ana viwanda huko pia. sasa mnaweza kuangalia kwa mtawanyiko huu kodi inakuwaje.. Ingawa uwekezaji mkubwa upo Tanzania.