Saidi Lugumi kuringishia Magari yake, Ni Ulimbukeni au Utajiri?

Huihui2

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
7,021
Reaction score
11,475
Your browser is not able to display this video.


Kuna clip inatembea kwenye magroup ya WhatsApp. Anaonekana Said Lugumi akimkabidhi hela Chief Godlove na kumuonyesha garage ya magari ya kisasa ambayo Lugumi anamiliki kama G-Wagon, Bentley etc.

Huyu mtu ali TREND sana wakati Magufuli alitaka kuuza nyumba zake kwa sababu ya kutomaliza zabuni ya ugavi wa vifaa vya kieletroniki kwa Jeshi la Polisi.

Ameibuka upya kwa namna hiyo. Najiuliza huu ni ULIMBUKENI au ni utajiri ??
 
Ukiona mtu anaenjoy kwa kujivunia nguo 2,000 asizoweza kuzivaa, magari 200 asiyoyahitaji, nyumba 20 zisizokuwa wakazi et al, ujue kuna tatizo kubwa la kiafya ndani ya nafsi na akili yake.

Anahitaji tiba
 
Umeshasema hayo magari ni mali yake, ana haki ya kufanya anavyojisikia mradi tu havunji sheria za nchi.
Jinai haiozi. Lugumi ana scandal, alipata tenda ya kusupply fingerprint machine vituo vote vya polisi. Machine 18 tu ndo wakainstall na 8 hazifanyi kazi. CAG, Bunge na Takukuru wakachunguza, ila ishu ikaishia hewani. Bilioni 37 ndo ikawa imepigwa kirahisi tu hivyo.
 

Kwa magari hayo na attitudes anayoonyesha sioni ubaya wake
 

Interesting part is, what business does he do? Selling arms? To whom? Tanzania government or other legitimate governments? or rebels for that matter?

Kuna lapse of information somewhere. There is kind of arrogance which he displays, which brings alot of questions than answers.
 
Hivi mtu/kampuni akipata tenda,hua ana lipwa kiasi chote Cha fedha kabla haja tekeleza yaliyo katika mkataba?
 
TAfuta pesa mkuu ili watu wakiwa wanafurahia pesa zao kwa matoys kama hayo usione kama ni ulimbukeni au wanakuringishia, uone tu ni kama ambavyo wewe unavyopost tu ukiwa na ka samsung kako mezani ukisoma gazeti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…