Saidi Lugumi kuringishia Magari yake, Ni Ulimbukeni au Utajiri?

Saidi Lugumi kuringishia Magari yake, Ni Ulimbukeni au Utajiri?

Wivu na umaskini ndio unawasumbua, acheni upuuzi wacha afanye kinachompa raha..leo uko hai kesho umekufa atleast ume enjoy, umeendesha magari unayoyapenda, nyie mnaoshauri kwa nini msitafute zenu kama ni rahisi..

Unasubiri mpaka uumwe ndio ule vizuri?
Bahati mbaya unaumwa na masharti mengi kwenye vyakula na pesa unayo na huwezi kula unachotaka..

Pesa unayo usiendeshe gari unayotaka kesho umeumwa uruhusiwi ku drive tena..

Fanya kile kinachokupa raha, maisha ni mafupi..hawa waja hawana jema.

Bata Maldives, nunua magari ya gharama, perfumes za gharama, mavazi ya gharama,kaangalie mechi ama ndondi live majuu, lala pazuri, tunza afya..enjoy maisha mana ni mafupi..
Usimsahau Muumba wako pia.
 
Kama hutushambulia tunapotafuta pesa,
Ama shuleni haujaendaa, maisha mazuri usitamani,
Martin Kasanju tajiri, jua ile bahati yake,
Wakoloni wameenda amebaki tu moja,pesa,
Sisi wote nyuma yake tajiri maskini,
Pesa tu wewe kama ni wengi wanazo hujui wazipata vipi, acha tamaa,
Nionyeshene mutu yule tajiri na hajafanya kazi yooh,
Ninavyojua Mimi papaa vitaa omaya, utajiri tena ni kuwa na secret,
Kama kuna masikini, kupata ama kukosa apangaye ni mola,
Mnyonge akilia chozi ni kama la damu,
Shida haina huruma jama, jali hata masikini huoni,Tamobadiliwa pededje ndama, tamobadiliwa tu makambo yeeyee,
Ida acha tamaa, tuimbe , erick acha tamaa, tuchezee, similiee alfabee na beleli mosika, misona yo mamaa, iyeyeyee, uoohh, yeyee, uooh, yeyeeh/
 
Jinai haiozi. Lugumi ana scandal, alipata tenda ya kusupply fingerprint machine vituo vote vya polisi. Machine 18 tu ndo wakainstall na 8 hazifanyi kazi. CAG, Bunge na Takukuru wakachunguza, ila ishu ikaishia hewani. Bilioni 37 ndo ikawa imepigwa kirahisi tu hivyo.
Je, Huyo Lugumi kwanza unamfahamu kuwa ni Nani hasa?

Je, unamkumbuka mtu anayeitwa Dkt. Shika ambaye kwenye Mnada wa Mali za huyo Lugumi alitamka kuwa "900 Itapendeza" ????

Unafikiri huyo Dkt. Shika wakati alipotamka maneno haya unadhani kwamba alikuwa Hana akili timamu sawa sawa kichwani mwake??

Temea mate chini ndugu!
 
Halafu ukitoka hapo unaenda kuanzisha mada Magufuli alikuwa liuaji, halipendi matajiri and your other nonsense.

Si ndio mambo mnayoyataka haya ya mama anajenga nchi, mtu anautajiri hana kiwanda wala shamba la heka kumi. Utajiri wote ni kufanya biashara na serikali tenders.

Sasa unalalamika nini akionyesha mali zake.

Don’t hate the players, hate the game.

Si unataka nchi ifinguliwe wewe, yaani 90% ya watu wanaomtukana Magufuli ni mapoyoyo ambayo hayaelewi hata alikuwa anapinga.

Huyo Lugumi ni msukuma mshamba tu, mawaziri wa Samia wakisema na wao flaunt ni balaa.
 
Sisi ngozi nyeusi shids sana ukipata senti kidogo utataka mpaka sisimizi waju! Wenzetu wahindi wao wakipata wanawekeza kwenye vitu vya maana sisi unakimbilia vitu vya anasa ambavyo havizalishi ! maskini Lugumii !
Tajiri anakufa na utajiri wake, ni vile tu mtu kaamua mkuu mtu anaamua atafute na atumie yeye tu.
 
Halafu ukitoka hapo unaenda kuanzisha mada Magufuli alikuwa liuaji, halipendi matajiri and your other nonsense.

Si ndio mambo mnayoyataka haya ya mama anajenga nchi, mtu anautajiri hana kiwanda wala shamba la heka kumi. Utajiri wote ni kufanya biashara na serikali tenders.

Sasa unalalamika nini akionyesha mali zake.

Don’t hate the players, hate the game.

Si unataka nchi ifinguliwe wewe, yaani 90% ya watu wanaomtukana Magufuli ni mapoyoyo ambayo hayaelewi hata alikuwa anapinga.

Huyo Lugumi ni msukuma mshamba tu, mawaziri wa Samia wakisema na wao flaunt ni balaa.
GT inasikitisha. Na wengi wanaona ndo maendeleo wakati its their own hard earned money being misused by few selfish individuals
 
Tabia ya waafrika wengi. Kina Myweather nk ndo zao huko USA. Waafrika kuunda hata kijiko tu shida. Vipi MJapani alieunda hizo gari aringeje. Waafrika kufanya car collection au assets collection tu yaani anajiona amefanikiwa huku kapiga hela za walala hoi.
Waafrika tukifikia hatua ya kuunda vitu sijui itakuwaje majigambo
Imagine mwafrika amiliki simu alioiunda yeye mwenyewe mpaka sisimizi zitajua.
Low IQ ni shida sana huwa ni watu wa EGO.
 
Back
Top Bottom