Saidi Lugumi kuringishia Magari yake, Ni Ulimbukeni au Utajiri?

Saidi Lugumi kuringishia Magari yake, Ni Ulimbukeni au Utajiri?

TAfuta pesa mkuu ili watu wakiwa wanafurahia pesa zao kwa matoys kama hayo usione kama ni ulimbukeni au wanakuringishia, uone tu ni kama ambavyo wewe unavyopost tu ukiwa na ka samsung kako mezani ukisoma gazeti.
Bado hakuna excuse YA ULIMBUKENI. Huyu pimbi bado hana hela na hajui ku-invest. Jamaa hajafika sekondari na alikuwa shoe shiner. Lazima avimbe sana
 
Kama hutushambulia tunapotafuta pesa,
Ama shuleni haujaendaa, maisha mazuri usitamani,
Martin Kasanju tajiri, jua ile bahati yake,
Wakoloni wameenda amebaki tu moja,pesa,
Sisi wote nyuma yake tajiri maskini,
Pesa tu wewe kama ni wengi wanazo hujui wazipata vipi, acha tamaa,
Nionyeshene mutu yule tajiri na hajafanya kazi yooh,
Ninavyojua Mimi papaa vitaa omaya, utajiri tena ni kuwa na secret,
Kama kuna masikini, kupata ama kukosa apangaye ni mola,
Mnyonge akilia chozi ni kama la damu,
Shida haina huruma jama, jali hata masikini huoni,Tamobadiliwa pededje ndama, tamobadiliwa tu makambo yeeyee,
Ida acha tamaa, tuimbe , erick acha tamaa, tuchezee, similiee alfabee na beleli mosika, misona yo mamaa, iyeyeyee, uoohh, yeyee, uooh, yeyeeh/
Taja mwenye wimbo
 
Halafu ukitoka hapo unaenda kuanzisha mada Magufuli alikuwa liuaji, halipendi matajiri and your other nonsense.

Si ndio mambo mnayoyataka haya ya mama anajenga nchi, mtu anautajiri hana kiwanda wala shamba la heka kumi. Utajiri wote ni kufanya biashara na serikali tenders.

Sasa unalalamika nini akionyesha mali zake.

Don’t hate the players, hate the game.

Si unataka nchi ifinguliwe wewe, yaani 90% ya watu wanaomtukana Magufuli ni mapoyoyo ambayo hayaelewi hata alikuwa anapinga.

Huyo Lugumi ni msukuma mshamba tu, mawaziri wa Samia wakisema na wao flaunt ni balaa.
Magufuli alikuwa mbaguzi katika ku deal na aliowaita mafisadi wala usilete topic yake hapa. Huyu Lugumi kwa vile ni msukuma mwenzie kama alivyotaka tumtambue mwenyewe hakuwahi kumtupa gerezani kama akina Mwaimu au Kitilya au Rugemalira. Alikuwa anamsema tu. Double standards tupu
 
View attachment 3135806

Kuna clip inatembea kwenye magroup ya WhatsApp. Anaonekana Said Lugumi akimkabidhi hela Chief Godlove na kumuonyesha garage ya magari ya kisasa ambayo Lugumi anamiliki kama G-Wagon, Bentley etc.

Huyu mtu ali TREND sana wakati Magufuli alitaka kuuza nyumba zake kwa sababu ya kutomaliza zabuni ya ugavi wa vifaa vya kieletroniki kwa Jeshi la Polisi.

Ameibuka upya kwa namna hiyo. Najiuliza huu ni ULIMBUKENI au ni utajiri ??
Tafuta hela mkuu upunguze wivu. Acha kupangilia watu namna ya kuishi kila mtu ataishi muda aliopangiwa.
 
Jinai haiozi. Lugumi ana scandal, alipata tenda ya kusupply fingerprint machine vituo vote vya polisi. Machine 18 tu ndo wakainstall na 8 hazifanyi kazi. CAG, Bunge na Takukuru wakachunguza, ila ishu ikaishia hewani. Bilioni 37 ndo ikawa imepigwa kirahisi tu hivyo.
Hahaha yani mtu analipwa milioni 10 unataka atoe haki ya kesi ya BILLION 37?
Yani kwa kifupi, anaweza kutumia BILLIONI 1, kuwapoza wote wanao husika na hiyo kesi, na wakaridhika na kesi ikaisha kisheria na isifufuke tena.
Maisha dunia hii ni PESA, hata kule kwa MWAMPOSA wanafahamu hilo, yale maneno tulikuwa tunafundishwa kwamba PESA SIO KILA KITU, huwezi kuyasikia tena kwa sasa.
 
View attachment 3135806

Kuna clip inatembea kwenye magroup ya WhatsApp. Anaonekana Said Lugumi akimkabidhi hela Chief Godlove na kumuonyesha garage ya magari ya kisasa ambayo Lugumi anamiliki kama G-Wagon, Bentley etc.

Huyu mtu ali TREND sana wakati Magufuli alitaka kuuza nyumba zake kwa sababu ya kutomaliza zabuni ya ugavi wa vifaa vya kieletroniki kwa Jeshi la Polisi.

Ameibuka upya kwa namna hiyo. Najiuliza huu ni ULIMBUKENI au ni utajiri ??
Ukiyapata utajua raha ya kuringishia.
Siupendi umasikini..
Huleta kutojiamini
Huleta chuki
 
Magufuli alikuwa mbaguzi katika ku deal na aliowaita mafisadi wala usilete topic yake hapa. Huyu Lugumi kwa vile ni msukuma mwenzie kama alivyotaka tumtambue mwenyewe hakuwahi kumtupa gerezani kama akina Mwaimu au Kitilya au Rugemalira. Alikuwa anamsema tu. Double standards tupu
Tafuta hela masikini wewe
 
Magufuli alikuwa mbaguzi katika ku deal na aliowaita mafisadi wala usilete topic yake hapa. Huyu Lugumi kwa vile ni msukuma mwenzie kama alivyotaka tumtambue mwenyewe hakuwahi kumtupa gerezani kama akina Mwaimu au Kitilya au Rugemalira. Alikuwa anamsema tu. Double standards tupu
Huyu alikubali kula na wenzake, hao wengine walikomaza shingo. Alimwaga pesa kuanzia kamati ya bunge, wabunge, mawaziri hadi Ikulu, bila kumsahau Dr.Shika.
Pesa ni sabuni ya roho, ilisafisha vinyongo na roho mbaya.
Walimkinga na walimuona mkombozi wao, walilipa hadi media zisimtaje, na tukamsahau.
 
Nimeona video ya masikini wakidiscuss magari ya tajiri mwenzangu said lugumi baada ya Mimi kumtembelea mara wanamuita limbukeni Sasa masikini wa humu Kwa njaa zao zinavyowapiga wanaona hasira zao wamalizie kumtukana tajiri mwenzangu Sasa napenda kuwaambia nyie mafukara tafuteni hela acheni ujinga yaani unakuta dume Zima linadiscuss Mali za mwanaume mwenzie tutawalia sana wake zenu
 
Kama hakuna sheria anayovunja sioni tatizo. Acha afurahie jasho lake. Mleta uzi elewa hadi ufike hiyo level risk ni nyingi. Pia mtu kama huyo hana uhuru hata wa kwenda kwa Mama Peruu kula msosi.. hapo ulinzi ndo kipaumbele chake cha kwanza. Watu kama hawa muda mwingi wanawindwa.
 
Back
Top Bottom