Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unawatafuta wafia timu Yao wewe[emoji1787][emoji1787]Mimi nilijua ni rika moja na Feisal Salum .
Au basi!!
🤣🤣🤣🤣Unawatafuta wafia timu Yao wewe[emoji1787][emoji1787]
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
faizo salum alikuwa overrated, na ni sahihi kutomweka kabisa hata kwenye timu ya taifa. na ndio maana tumeshinda. akacheze michezani huko.Mimi nilijua ni rika moja na Feisal Salum .
Au basi!!
Issue hapa ni kumpongeza Babu Saido kuweka record ya kuwa mchezaji mzee kuliko wote Afcon.faizo salum alikuwa overrated, na ni sahihi kutomweka kabisa hata kwenye timu ya taifa. na ndio maana tumeshinda. akacheze michezani huko.
Hao Wachezaji wenu Vijana mbona walishindwa kuchukua Kiatu cha Mfungaji bora wa NBC LEAGUE 2022/23 NTIBA AKAWATOA KAMASIMimi nilijua ni rika moja na Feisal Salum .
Au basi!!
Haaahaaa 🤣🤣Subiri hapo hapo uje upigwe mawe na makolo
Tangu lini Mbumbumbu wakawa na akiliSaido Gani huyo aliyeko Afcon? Burundi haijafuzu Afcon acha kudanganya watu
Kwahiyo?! tukusaidiaje?Mimi nilijua ni rika moja na Feisal Salum .
Au basi!!
Na ndiye mfungaji bora wa PL yetu mwaka jana, ligi ambayo ni ya tano kwa ubora Africa kama takwimu zinavyosema.
Kama Madaraka Selemani 'Mzee wa Kiminyio'. Alitambaza soka at his 40+ kwa kiwango kikubwa kuzidi hawa wonder kids wenu wenye mikimbio mizuri.Umri is just numbers, Messi na Ronaldo bado wanatupia tu as if wana 23. Twende mzee mwenzetu hadi 43, wavimbe wapasuke we endelea kutupia.